Lawama ziwaendee samuya, Abdul, kundi la watekaji, machawa wote wanao shabikia ouvu na kuukataa demokrasia, uhuru wa maoni na utawala wa Sheria wenye misingi ya haki. Alaaniwe yule anaye wadhihaki wote waliokufa wakipigania haki.
Waweza kuwa na madonda ya tumbo (ulcers), wakati mwingine huleta tatizo la mshituko wa moyo au umeme wa ghafula na pengine ukosefu wa usingizi. Kacheki hilo. Ni makosa kutumia dawa za moyo/pressure/usingizi kabla ya kuthibitisha Kwa daktari Kwa njia ya vipimo.
Trab na Trat ye anakwambia majogoo, madume na mabeberu wanatuonea wivu Kwa raslimali zetu. Badala ya kuliunganisha taifa yeye Yuko kwenye kuomba taarabu. Kwakweli tumepatikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.