Recent content by Bhikalamba

  1. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Kutoka kisheria kuna njia mbili: 1. DPP kufuta kesi kwa kutumia kifungu cha 91 2. Kesi kuendelea mahakamani na yeye kushinda.
  2. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Dkt. Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu, Zanzibar

    Huku bara pameshakuwa pa moto naona ana Amani zaidi akiwa nchini kwao
  3. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Mimi binafsi sijaelewa hii hoja kuwa Watanzania mnamnyanyapaa Rais Samia. Aliyeelewa atusaidie

    Ndo maana wamekataa kurusha mubashara na Sasa hawataki wandishi wa habari kuripoti kinachojiri kwenye hiyo time.
  4. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Nafukua: Kwanini Oktoba 29 kulikuwa na makundi mengi yasiyo rasmi yenye silaha yakiua raia? Ina amaana asilimia kubwa ya jeshi halikuunga mkono?

    Lawama ziwaendee samuya, Abdul, kundi la watekaji, machawa wote wanao shabikia ouvu na kuukataa demokrasia, uhuru wa maoni na utawala wa Sheria wenye misingi ya haki. Alaaniwe yule anaye wadhihaki wote waliokufa wakipigania haki.
  5. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Tatizo la moyo kuripuka

    Waweza kuwa na madonda ya tumbo (ulcers), wakati mwingine huleta tatizo la mshituko wa moyo au umeme wa ghafula na pengine ukosefu wa usingizi. Kacheki hilo. Ni makosa kutumia dawa za moyo/pressure/usingizi kabla ya kuthibitisha Kwa daktari Kwa njia ya vipimo.
  6. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Nini kimempata Nicodemus Julius Loyore baada ya kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa Polisi? Yupo wapi?

    Trab na Trat ye anakwambia majogoo, madume na mabeberu wanatuonea wivu Kwa raslimali zetu. Badala ya kuliunganisha taifa yeye Yuko kwenye kuomba taarabu. Kwakweli tumepatikana.
  7. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hilda Newton: Afande Hamza, aliyeua mamia ya waandamanaji 29/10 - 3/11/ ni kichaa. Anaropoka siri zao ovyo. Amefungiwa chumba maalumu Police Oysterbay

    Rudi kwenu Kwa Mr. Mosquito 🦟, mambo ya Tanganyika tuachie wenyewe.
  8. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Hivi Hawa wazee wanaotumia majukwaa kuhatarisha amani yetu wangefanyiwa hivi wao wakiwa vijana Leo hii wangekuwepo hai? Wazee acheni ubinafsi

    Wizi wa kura na kujipachika madarakani ni malezi mazuri ya wazazi wako?
  9. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Tunapoteza muda, maandamano ya amani ni kwa ajili ya makongamano

    Epuka utekaji na acha haki ba demokrasia vitamalaki
  10. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Simu za viongozi wa CHADEMA Kibaha, zilikamatwa kwenye kikao na Afande Mafwele

    Yes ndo maana tunatetea haki, demokrasia na kupinga utekaji.
  11. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa sio sehemu salama kwa mtu yoyote, ukikamatwa na polisi wanaweza kukuumiza na wasifanywe chochote mageuzi ni lazima

    Uliowataja wote ni watetezi wa watanzania. Ila nzi wa kijani mumepewa maagizo ya kuvamia post kwenye social media Ili moment ujinga.
Back
Top Bottom