Recent content by Bhikalamba

  1. Bhikalamba

    Dkt. Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu, Zanzibar

    Huku bara pameshakuwa pa moto naona ana Amani zaidi akiwa nchini kwao
  2. Bhikalamba

    Mimi binafsi sijaelewa hii hoja kuwa Watanzania mnamnyanyapaa Rais Samia. Aliyeelewa atusaidie

    Ndo maana wamekataa kurusha mubashara na Sasa hawataki wandishi wa habari kuripoti kinachojiri kwenye hiyo time.
  3. Bhikalamba

    Nafukua: Kwanini Oktoba 29 kulikuwa na makundi mengi yasiyo rasmi yenye silaha yakiua raia? Ina amaana asilimia kubwa ya jeshi halikuunga mkono?

    Lawama ziwaendee samuya, Abdul, kundi la watekaji, machawa wote wanao shabikia ouvu na kuukataa demokrasia, uhuru wa maoni na utawala wa Sheria wenye misingi ya haki. Alaaniwe yule anaye wadhihaki wote waliokufa wakipigania haki.
  4. Bhikalamba

    Tatizo la moyo kuripuka

    Waweza kuwa na madonda ya tumbo (ulcers), wakati mwingine huleta tatizo la mshituko wa moyo au umeme wa ghafula na pengine ukosefu wa usingizi. Kacheki hilo. Ni makosa kutumia dawa za moyo/pressure/usingizi kabla ya kuthibitisha Kwa daktari Kwa njia ya vipimo.
  5. Bhikalamba

    Nini kimempata Nicodemus Julius Loyore baada ya kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa Polisi? Yupo wapi?

    Trab na Trat ye anakwambia majogoo, madume na mabeberu wanatuonea wivu Kwa raslimali zetu. Badala ya kuliunganisha taifa yeye Yuko kwenye kuomba taarabu. Kwakweli tumepatikana.
  6. Bhikalamba

    Tunapoteza muda, maandamano ya amani ni kwa ajili ya makongamano

    Epuka utekaji na acha haki ba demokrasia vitamalaki
  7. Bhikalamba

    Simu za viongozi wa CHADEMA Kibaha, zilikamatwa kwenye kikao na Afande Mafwele

    Yes ndo maana tunatetea haki, demokrasia na kupinga utekaji.
  8. Bhikalamba

    Tanzania ya sasa sio sehemu salama kwa mtu yoyote, ukikamatwa na polisi wanaweza kukuumiza na wasifanywe chochote mageuzi ni lazima

    Uliowataja wote ni watetezi wa watanzania. Ila nzi wa kijani mumepewa maagizo ya kuvamia post kwenye social media Ili moment ujinga.
  9. Bhikalamba

    PostGE2025 Hongera kwa JWTZ kwa kutuliza nchi. Lakini Nina ushauri huu

    Ondoa picha na jina la Bey wa heshima aliyetetea haki na kupigana vita vitakatifu. Siyo wewe choko la Lumumba linalongozwa na uchawa
Back
Top Bottom