Kuna anko wangu mmoja katolewa huko kijijini kaletwa hapo mbezi eti kuna kazi na kaja kimya kimya, kufika hapo akaambiwa anatakiwa atoe pesa Sh M 4.5. Ndio akaanza kunitafuta ananielezea hizo habari, nikamwambia unatapeliwa kashupaza shingo nimenyamaza kimya.
Low IQ, ubinafsi unatuua hii ni kuanzia ngazi familia mpaka tTaifa, hakuna anayewaza future, miaka 30 ijayo nini kitahapeni so natakiwa nifanye nini sasa hivi kuweza kuifikia
Ubarikiwe sana, umeelezea vizuri hizi aina za customers, mimi nandondokea hapo kwa mteja mtafiti. Lakini hizi aina nyingine naona zitanisaidia kwenye shughuli zangu za kila siku.
Mi mtu akisema nimkopeshe pesa, akitaja pesa ndefu mfano Kama 200,000. Kwanza namwambia sina pesa ila Kama ila nikiona shida yake IPO taiti Sana kiasi alichosema simpi chote namwambia mi niliyonayo labda 30k au 50k, nampatia Kwa kumkopesha ila sitamdai. Yeye akijisikia hailete asipoileta najua...
Hii barabara ya chalinze- kibaha ni ndogo Ina magari mengi Sana yaani haimuhitaji dereva azembee hata kidogo ni juzi tu naenda mlandizi barabara ilikuwa Inaonekana nyeupe mbele lakini lilipotokea gari la mkuu wa mkoa likiovetake lorry hata hapajulikani. Nusura tuangukie korongoni. Tulibaki...
Kusema kweli Tanesco Wana dharau Sana Kwa wateja wao na majibu ya kebehi, utafikiri hio huduma hatulipiii. Mimi ninaeongea hii ni karibu mwezi mzima hatuna umeme, walisema transformer Lina tatizo wakaja wakalitoa, Sasa hivi ukifuatilia wanakwambia eti hawana gari la kubebea transformer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.