Recent content by Bhang pure

  1. B

    Baada ya kula bamia kwa wingi uume umegoma kulala

    Kea hio tafsiri ya kibamia inakuaje
  2. B

    Naomba kujuzwa jinsi ya kupata nylon nyeupe ngumu (0.5mm)

    Habarini wana JF, Nina uhitaji wa haraka wa nylon nyeupe (transparent) walau 0.5mm....naomba msaada kwa mwenye kufaham jinsi ya kuyapata. Asanteni.
  3. B

    Wanounga mifupa ikivunjika kwa tiba asili je unapona kweli?

    Kabisa...ni kihelehele chake tubcha kwenda ubelgiji na si unaona kageuka chiba sasa Sent from my TRT-L21A using JamiiForums mobile app
  4. B

    Wanounga mifupa ikivunjika kwa tiba asili je unapona kweli?

    Muuliza swali kuna watu hapa wanacomment ujinga sabab hayajawahi kuwafika au hawajawah kugikwa kwa ndugu zao...ushauri wangu usiendelee kuifuatulilia comment ...hospitali utatumia pesa nyingi na mguu hautokaa sana...fungua safari ingia kwa wataalam wa jadi wa uhakika sio wababaishaji ...utapona...
  5. B

    Wanounga mifupa ikivunjika kwa tiba asili je unapona kweli?

    Wewe wa wapi hivi..asilimia kubwa ya mifupa iliyovunjika inashindikana kufungwa hospitali....wataalam wa jadi ni kiboko wa maswala ya kuunga mifupa...na ni kwa haraka zaidi unarudi kama hujawai kuvunjika ...kama huna ushahidi ni bora utulie kuliko kuleta ubishi wa kijinga
  6. B

    Wanounga mifupa ikivunjika kwa tiba asili je unapona kweli?

    Acha upotoshaji wewe kuna wataalam wa kienyeji wanaunga vizuri kabisa kama huna details tulizana au subir siku uvunjike utawatafuta kwa udi na uvumba.
  7. B

    Naomba kujuzwa mazao yanayovunwa kwa wingi mwezi Machi - Aprili mkoani Morogoro

    Nimelenga Morogoro kwa sababu ya ukaribu wake na Dar
  8. B

    Naomba kujuzwa mazao yanayovunwa kwa wingi mwezi Machi - Aprili mkoani Morogoro

    Asante mkuu...umesema labda dodoma kwa maana ndio wanavuna miezi March-april au kote ni may-june?
  9. B

    TANZIA Wakili Geofrey Noah afariki dunia kwa tatizo la Nimonia

    Kutoka kua gonjwa la watoto mpaka kua ugonjwa wa watu wazima tena unaoua kwa haraka haraka...mabadiliko haya yote ni ndani ya awamu ya tano
  10. B

    Naomba kujuzwa mazao yanayovunwa kwa wingi mwezi Machi - Aprili mkoani Morogoro

    Habarini Wana JF Naomba kufahamishwa juu ya mazao yanayovunwa kwa wingi mkoani Morogoro kwa mwezi March-April, pia na vijiji ambavyo mazao hayo yanapatikana kwa wingi. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom