Naomba unielimishe,
1. Kwani kwenye level ya vilabu zanzibar si inatambulika kama nchi?
2. NBCPL si iko chini ya TFF na hiyo TFF haitambuliki zanzibar kama ambavyo haitambuliki nigeria au kenya?
3. Kama jibu kwenye namba 2 ni ndio, sasa kwanini ligi iliyochini ya TFF ikachezwe kwenye himaya ya...
Baada ya timu zetu (klab) pendwa kuondolewa "bila zengwe" katika mashindano ya kimataifa yanayoandaliwa na CAF, nimejifunza mambo kadhaa;
1. Ni kweli kabisa kwamba mpira wetu ni kivyetuvyetu kama wasemavyo azam tv.
Ukiangalia namna tulivyoyaendea mashindano kwa msimu huu, utagundua kuwa hata...
Katika hili utakuwa una changamoto kwenye reasoning, mtu anayepinga uwepo wa kitu naturally anakuwa free ila anayesema kitu hicho kipo ndiye anapaswa kuthibitisha. Unamlazimishaje mtu kuthibitisha kiti ambacho yeye kashakwambia hakipo? Yaani akithibitisheje wakati hakipo?
Ni kwamba mimi ndio sijaelewa au wewe na mleta mada ndio hamjaelewa, mbona kama mfumo emwambia nafasi imejaa, yaani kosa lake ni kuchelewa kuconfirm na sio mambo ya points kwenye division?
Na ndio hoja yangu hiyo nashukuru umeniunga mkono, kwenye bandiko langu nilisema hivi "huu uswahili swahili tunaouendekeza tukidhani tunafurahisha mashabiki (japo siku hizi simba ni kama anauweka pembeni) ndio unawapa picha wapinzani wetu wa kimataifa kuwa bado hatuko professional kiasi kwamba...
Naamini kabisa kwamba msanii anaweza kuimba vizuri tu kwenye simba day asiitaje yanga na watu wakafurahi na kuburudika, vivyohivyo kwenye yanga day mengine hayo ni kupunguza hadhi ya vilabu vyetu.
Mfano kuna mtu (ni meja au d vois sikumbuki vizuri) kwenye yanga day alisema simba wamesajili...
Kwakuwa mada yako ime cite kusini ngoja nikupe experience kidogo ambayo naamin huijui na inaweza kubadili fikra zako juu ya kile ulichokiandika
1. Wendeshaji wakubwa wa hizo sherehe kwa kusini (sio mahafali pekee, ubatizo, birthday, kipaimara, kuchezwa nk) ni wanawake na huwa ni shughuli...
Niliangalia matamasha ya Simba day na Yanga day ya mwaka huu nikaendelea kushuhudia kitu ambacho nilidhani hakikupaswa kufanyika kutokana na ukubwa wa vilabu hivi kwa sasa na umaarufu wa matamasha haya kwa sasa barani afrika na duniani kwa ujumla.
Msanii kiongozi kwenye tamasha la simba day...
Niliangalia matamasha ya simba day na yanga day ya mwaka huu nikaendelea kushuhudia kitu ambacho nilidhani hakikupaswa kufanyika kutokana na ukubwa wa vilabu hivi kwa sasa na umaarufu wa matamasha haya kwa sasa barani afrika na duniani kwa ujumla.
Msanii kiongozi kwenye tamasha la simba day...
Raha ya utani ni "kumpiga mtani kichwani"
Tatizo linakuja pale ambapo kwa hivi karibuni Simba wameanza kuuweka kando utani hu, nahisi wamegundua kuwa hauwalipi wala hauna faida zaidi ya majungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.