Mala paap! TSSF Wanatuma pesa za ada vyuoni kwa wanafunzi walioomba, Sasa sijui vyuo vitaikataa na kuirudisha hyo hela kwa kuwa TSSF haitambuliwi na wizara ya elimu.
Hapana hatukuwahi kusoma , tulichaguliwa mwaka jana ila hatukureport chuoni , na hii ishu tulisha clear TCU kitambo sana ila vyuo vingine DIT, MUHAS, ATC wao tayari walishatoa majina ya walio clear wenye ishu exactly kama yetu long ago. but UDSM cjui kuna agenda gani ya siri inaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.