Recent content by betrose

  1. B

    Kwanini Wanaume wengi siku hizi mmegoma kuzama chumvini?

    Hahaaaaaaa,umenichekesha..mamba tena
  2. B

    Kasi ya kuenea kwa maambukizi ya HIV/AIDs

    Kwani ukimwi unapatikana kwenye misambwanda tu? Mbona hata vimodo wanao..cha muhimu kuwa mwangalifu kwenye tendo usipate michubuko kabisa..ila km mnafanya mpk mnachubuana oooh! Asilimia za kuukwaa ni kubwa mno
  3. B

    Wanawake wengine huwa hawaoneshi dalili za kufika kileleni!

    Umemaliza kila kitu,mwenye kutaka kujifunza amekuelewa
  4. B

    Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

    Aisee! Kumbe walimfanyia mtima nyongo ee,
  5. B

    Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

    Hapana Nina na Norah ni watu tofauti,Norah alikuja kuolewa na yule mganga Ng'wizukulu Jilala,baadaye ndoa ikavunjika..sijui kapotelea wapi
  6. B

    Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

    Akivaa na kimini lazima useme yes
  7. B

    Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

    Daaah! Kweli maisha yamesogea..tulikuwa tunaanza J3 kwa kusoma gazeti la ijumaa wikienda,uwazi,Risasi,Alhamis Gazeti Amani,mwisho tunafunga na gazeti ijumaa,kweli Shigongo alituweza
  8. B

    Swali: Mapenzi ni matusi au matusi ni mapenzi?!

    Daah!umenikumbusha Lara 1,sijui yuko wapi,
  9. B

    Kibomba cha maji ndiye adui mpya wa mahusiano yetu

    Pressure haiwi kubwa kidogo tu,raha na starehe,hasa ukijua kulenga vizuri weeee Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Ila wanawake mna dhambi wakati mwingine

    Hizo zinaitwa sifa za kijinga...jikune unapoweza Sent using Jamii Forums mobile app
  11. B

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Wanataka kuhalalisha haramu iwe halali... Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    Wanawake wenye vitambi mnipite mbali kabisa

    Kabisaaa...na mchagua jembe sio mkulima Sent using Jamii Forums mobile app
  13. B

    Wanawake wenye vitambi mnipite mbali kabisa

    Hahahaaaaaa kila mtu na Test yake kwa kweli Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom