Kwani ukimwi unapatikana kwenye misambwanda tu? Mbona hata vimodo wanao..cha muhimu kuwa mwangalifu kwenye tendo usipate michubuko kabisa..ila km mnafanya mpk mnachubuana oooh! Asilimia za kuukwaa ni kubwa mno
Daaah! Kweli maisha yamesogea..tulikuwa tunaanza J3 kwa kusoma gazeti la ijumaa wikienda,uwazi,Risasi,Alhamis Gazeti Amani,mwisho tunafunga na gazeti ijumaa,kweli Shigongo alituweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.