Habari zote zipo kwenye mitandao ni kiasi tu cha kusoma kwa makini na kutofautisha mambo.
Above all tuiombee China wafanikiwe kutokomeza hivi virusi, kwa ni tishio kwa uhai na uchumi pia.
Hongera mkuu kwa hatua hio.
Kwa pesa hio unaweza jenga nyumba ila itategemea design ya nyumba(ukubwa,aina ya msingi,roofing style e.t.c),aina ya mafundi utakaowatumia,quality ya finishing material n.k
Ushauri wangu, Kubali kutoa pesa angalau kidogo ufanyiwe design, mtafute Architect (mbunifu...
Hizi ni aina ya tofali zinatengenezwa kwa kuchanganya soil and cement,ziko katika muundo unaozipa uwezo wa kuvaana(interlock) hivyo upangaji wake wakati wa ujenzi utumia mortar(cement and cement) bila kiathiri uimara wa joint zake.
Zimetumika maeneo mengi kwa mfano katika ujenzi wa nyumba za...
Ahsante mkuu, kwa hio bei ya 45,000/=@box inaweza kucover sqm ngapi? Iwapo size ya tile ni 60cmx60cm au size nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Well explained, ila in some cases beams inawezekana kutumia nondo 3, mbili chini na moja juu zikizungushiwa stirups.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa elimu uliyoitoa kuhusiana na baadhi ya mambo ya msingi kuhusu ujenzi.Asilimia kubwa ya watu wanaogopa kuanza ujenzi moja ya sababu ikiwa ni kukosa uelewa kuhusu mchakato mzima wa ujenzi.
Mbali ya elimu ya darasani,elimu itokanayo na uzoefu kazini ni muhimu sana jambo ninaloliona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.