Recent content by Beton

  1. B

    Naombeni ushauri, nataka nianze ujenzi

    Mirium Laiser kama unahitaji ramani ya nyumba aina yoyote, kulingana na requirements zako karibu inbox tuyajenge.
  2. B

    China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    Hizo picha nimeweka ni hospital iliyojengwa Wuhan(kwa siku 10), picha uliyoweka wewe ni habari nyingine. Take time fatilia kwa makini utaelewa mkuu.
  3. B

    China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    Habari zote zipo kwenye mitandao ni kiasi tu cha kusoma kwa makini na kutofautisha mambo. Above all tuiombee China wafanikiwe kutokomeza hivi virusi, kwa ni tishio kwa uhai na uchumi pia.
  4. B

    China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    Hio kwenye picha ni habari nyingine. Hospitali Iliyojengwa kwa siku 10 iko Wuhan province,ulipoanzia mlipuko wa virus.
  5. B

    Ushauri: Nataka kujenga nyumba kwa Shi. Milioni 27

    Hongera mkuu kwa hatua hio. Kwa pesa hio unaweza jenga nyumba ila itategemea design ya nyumba(ukubwa,aina ya msingi,roofing style e.t.c),aina ya mafundi utakaowatumia,quality ya finishing material n.k Ushauri wangu, Kubali kutoa pesa angalau kidogo ufanyiwe design, mtafute Architect (mbunifu...
  6. B

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Angalia picha kwenye post yangu no 230 Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Hizi ni aina ya tofali zinatengenezwa kwa kuchanganya soil and cement,ziko katika muundo unaozipa uwezo wa kuvaana(interlock) hivyo upangaji wake wakati wa ujenzi utumia mortar(cement and cement) bila kiathiri uimara wa joint zake. Zimetumika maeneo mengi kwa mfano katika ujenzi wa nyumba za...
  8. B

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Ahsante sana! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Ahsante mkuu, kwa hio bei ya 45,000/=@box inaweza kucover sqm ngapi? Iwapo size ya tile ni 60cmx60cm au size nyingine? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Well explained, ila in some cases beams inawezekana kutumia nondo 3, mbili chini na moja juu zikizungushiwa stirups. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. B

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Hongera kwa elimu uliyoitoa kuhusiana na baadhi ya mambo ya msingi kuhusu ujenzi.Asilimia kubwa ya watu wanaogopa kuanza ujenzi moja ya sababu ikiwa ni kukosa uelewa kuhusu mchakato mzima wa ujenzi. Mbali ya elimu ya darasani,elimu itokanayo na uzoefu kazini ni muhimu sana jambo ninaloliona...
  12. B

    Naombeni nielimishwe kuhusu kozi inayoitwa civil droughting

    Uchoraji wa ramani, nyumba e.t.c Ukimaliza masomo yake unaweza kuajiriwa kama Civil draftman. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. B

    SOMO: Jinsi ya kutambua simu fake, mtumba, refublished, wizi na Matapeli

    Ahsante kwa kushare knowledge hio mkuu,uzi makini,binafsi nimejifunza.
Back
Top Bottom