Recent content by bethymgoo

  1. bethymgoo

    Kwanini mchepuko apigwe goli nyingi mke wa ndoa goli moja tu?

    Hahahahahahhhha wanajfanyaga wanakomesha kisa wanalipia game....s unajua show za malipo aiseee lazma ujitutumue ili kiingilio chako kisikuume....mke s unaiua yupo tu anytime akitaka unamtusua tu....
  2. bethymgoo

    Wema: Ugonjwa wa ngozi umeniaribu

    jamaniiiii pole kwake.....doctor ana upenzi na new_kajala nn? cha kumpa mrembo wa tz huo mdawa wa kuzd kumharbu ndo nn....
  3. bethymgoo

    Baby Madaha, Shilole "WATIFUANA"

    ahahahhahaahhhahahahahaha......kwanza nicheke af madaha nae kiaz kibich kweli hajisom wala hajielewi ye ndo anatafuta kiki kwa shilole maana shilole juhudu bnafs bila vya kushndania....ye aishukuru benchmark hv hv angebakia kutukwangua mba saloon.....teh dunia ina mambo balaa
  4. bethymgoo

    Ushauri unahitajika kwa kijana mwenzenu

    duh jaman kama n kwel pole na ungesamehe tu kila kitu kina sababu may b withn hyo 10yrs uraian ungekua ushadakwa kwa sembe as uliweza kukumbatia sichudenti basi sembe ingekua kitu chepesi kukikumbatia sanasana mshukuru huyo kijana kwa wazo lake jema lakukunusu na makubwa ya uraian songa mbele...
  5. bethymgoo

    Eid inakaribia, Mshahara Serikalini hakuna

    yaan n shda....umenchosha mtoa mada et mwenyez mungu wanusuru wasianze biashara ya.........
Back
Top Bottom