Recent content by bet

  1. B

    Dr. Magufuli aiteka Rombo,afanya mkutano Tarakea.Wananchi wasema CCM yatosha!

    Hawa waliohudhuria wamebebwa kutoka kata zote tano za rombo wakapelekwa. Rombo asahau tu hapati kitu
  2. B

    Majimbo 11 Ambayo UKAWA Wasipoteze Fedha Washapita

    Rombo. Huku kwetu rombo hata wangeweka jiwe na maccm, jiwe litashinda
  3. B

    Chama Cha Mapinduzi (Zanzibar) wajibu tuhuma alizotoa Lowassa

    Kwa kua 2005 taratibu zilifuatwa
  4. B

    Kupiga nyumba rangi

    KakaJambazi Nadhani pesa anatafutwa.. Hilo sio shida. Shida yangu ni kitu kizuri. Ningepata kusaidiwaw ni kipi kizuri ningeshukuru sana
  5. B

    Kupiga nyumba rangi

    Mkuu phocas adrian hata wazo lako laweza kuwa darasa tosha
  6. B

    Kupiga nyumba rangi

    Wana jamvi poleni na majukumu. Naomba ushauri kutoka kwenu kuhusu upakaji rangi kwenye nyumba. Nimepata ugumu au shida katika kufanya maamuzi kwa haya yafuatayo. 1. Kuna upakaji wa rangi kwenye nyumba ambao ni wa kawaida tuliouzoea kwa kutumia rangi za kawaida 2. Kuna upakaji mwingine ambao...
  7. B

    Hesabu za matipper ya Mchanga

    Pia huku Mbezi ya kimara fuso za tani 4 zipo kibao na hesabu zake ni 85,000/= hadi 100,000/= kwa siku. Ninasema hivyo kwa uhakika coz hata mimi nipo kwenye hii biashara long time
  8. B

    Ushauri wa bure kwa wamiliki na uongozi wa Dar express

    Aliyekufa ni mama (mke wa mwenye magari). Huyo mama ndo alikua anajua spare za gari zinapatikana wapi na ndiye aliyekua msimamizi mkuu. Baada ya kufa mumewe kaenda kuoa binti wa miaka 20 wanatumbua mali pole pole. Gari zote alikua ananunua mama japo baba ndo mtoaji wa pesa za manunuzi.
  9. B

    Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

    Dr Tulia Ackson ni Lecturer hapo UDSM
Back
Top Bottom