habari wakuu yani kila nikiamka asubuhi nasikia kichefuchefu balaa mpaka natapika pind napopiga mswaki,so asubuhi sili kabisa mchana nakula kidogo mno usiku kidogo najitahidi,sasa madokta nifanye nini nmepima sina ugonjwa vyote negative yani mpka kamwili kanapungua my age is 23yrs ,mimi ni me...
duuh hio dawa ije tu maana leo nmepita hospital moja nlikuwa nashda zangu binafsi aah nmeona wagonjwa waukimwi wanvyotesaka nusu nilie eeh mungu saaidia viumbe wako
habar wakuu.kama nlivyojieleza mm ni me my age is 23 uzito wangu n 50kg urefu n 168cm nahitaji lishe za kuongeza atleast 7-10 kg sina tatizo lolote na nmeridhika na maisha sina tatizo kabisa na pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.