Recent content by beste

  1. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante kwa comment yako...ila nikuweke wazi tu kuwa hakuna biashara yoyote ile nnayoitangaza hapo,nimeomba ushauri kwa wana MMU as my thread inavyojieleza...na nimepokea mawazo yenu kwa mikono miwili.
  2. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante mrembo wangu kwa kunifungua macho...yaan kwa kwel ni mda umepita bila mawasiliano sasa...mh..
  3. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante Giti
  4. B

    Nimrudie Tena?

    Namaanisha mapenz yangu mm kwake yy...kwa upande wake siwez kujua kwa kweli,
  5. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante sana Zawadi...nashukuru tht umeelewa how it feels...yaan ni kama kidonda vile...ila najipa moyo na nimefarijika mno na ushaur wako...ahsante sana,ntazd kumtumain na kumtegemea mungu,
  6. B

    Nimrudie Tena?

    Thankx for ua advice,will try do tht
  7. B

    Nimrudie Tena?

    Iam careful and i'll keep on being so.
  8. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante sana Mahmood kwa ushaur wako mzur. Kwa kpnd chote hiki nimekua karbu sana na mungu...na imenipa courage kubwa sana...ila ntajitahd kuendelea kusali...naamin mungu atajibu.
  9. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante kwa pole,kwakwel sababu nyng hazikua rasmi...ni vijiugomv tu vya hapa na pale,nilimuheshm sana na hakukuwa na kitu kinachoitwa cheatn in me..yy ndo aliyeniacha..but probably time will heal
  10. B

    Nimrudie Tena?

    Ahsante Box,will try to do that ingawa naona ngumu sana,ila ntajitahd
  11. B

    Nimrudie Tena?

    Habari wana MMU.Kwanza kabisa nafarijika sana kuwa mwanajukwaa hili...na huwa napata mengi sana kwa njia ya usomaji wa threads na comments...kiufupi jamii forums unifanya nismile most of the tym. Tatizo langu kubwa linalonisibu ni upweke jaman.I had a bf lakin tukahitilafiana na kuachana kwa...
  12. B

    B.a in history

    Nakushaur nenda vyuo vya ualimu...uwapelekee cv zako...na uonyeshe nia tht u wud lov to work with them...unaweza kuanza kama intern...thn bdae wanaweza kukuajir...kaz ni ishu,or else ujiajir tu kwa kuungaunga,
Back
Top Bottom