1.Yanga ni team ya wanachama
2.yanga hawakutoa taarifa rasmi
3.Ni tetesi zilizosambazwa na waandishi wa habari
Final, ni ngumu sana club kushitakiwa kwa jambo kama hili, labda kushtakiwa kwa uongozi wa club
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ni muhitimu wa stashahada ya LABOUR RELATION AND PUBLIC MANAGEMENT naomba kujua vitu gani vya kuzingatia ambavyo vitanisaidia kuitwa kwenye interview.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.