Recent content by Berryblack

  1. B

    Nauza tende

    Uzuri izi sio zile za kugandana n tende kavu so ni wewe tu na packaging yako utaonaje
  2. B

    Nauza tende

    Samahani kusimikwa Sijaelewa vizuri Ila izo ni tende kavu
  3. B

    Nauza tende

    Tende n kwel inaongeza uki mix na maziwa ndizi na michanganyo mingine wataalam wanajua
  4. B

    Nauza tende

    Unaweza save namba tajeer next time ukiwa na uhitaji simu moja tu ☎️
  5. B

    Nauza tende

    Elfu 10 kwa kilo 😅
  6. B

    Nauza tende

    Tunaelekezana tu sisi wote wamoja
  7. B

    Nauza tende

    Karibu sana
  8. B

    Nauza tende

    Karibuni sana wateja mzgo wa tende 10kg utazipata kwa elfu sitini tu (60k). Wateja wa mkoani mnafikiwa pia kwa. Kusafirishiwa mzgo kwa mawasiliano 0612630936 karibuni sanaa.
  9. B

    Nauza mashuka classic polycotton

    Habarini za saiz watu wangu wa nguvu nawaletea shuka 2 foronya 4 polycotton size ni 7*8 kwa bei Nzuri kabsa ya 25,000 kwa mawasiliano 0612630936 popote Tanzania inakufikia karibuni sanaa
  10. B

    Gaming pc inauzwa

    ASUS TUF Gaming A15 Kompyuta hii ya gaming ina uwezo mzuri kwa michezo ya kisasa, kazi nzito na matumizi ya kila siku. Inaendeshwa na processor ya AMD Ryzen 7 4800H, pamoja na graphics card ya GTX 1650 Ti yenye 4GB, inayokupa performance nzuri kwenye gaming na editing. Ina RAM ya 16GB DDR4...
  11. B

    ASUS TUF GAMING PC INAUZWA 1.7M

    ASUS TUF GAMING A15 CPU………AMD Rayzen 74800H GPU………GTX 1650Ti. 4GB RAM…….. 16GB DDR 4 ROM……..512 NvMe SSD DISPLAY…..144 hz refresh rate RGB KEYBOARD FULL Kwa mawasiliano 0612630936 price ya hii pc 1.7M
  12. B

    TRA VS TPDC

    wakuu wapi kuna asali maana jamii forum hakujawai kosekana jibu kati ya TPDC vs TRA
  13. B

    Nauza Kuku chotara, ni Tetea kwa bei ya TSh 10,000 wapo 145

    Kwa sasa n nyama tu mayai bado kidogo labda kama utataka sababu matetea Pia yapo ya kutosha
  14. B

    Nauza Kuku chotara, ni Tetea kwa bei ya TSh 10,000 wapo 145

    Sasa mkuu ilikua ngumu sababu ya aina ya ufugaji n wa Banda huru yaan wanatoka day time usiku ndo wanazama ndan
  15. B

    Hostel ya vyumba 12 inauzwa Tanga mjini maeneo ya kange kasera

    Yeah iyo ilikua Bei ya zaman mwaka mzma umepita sasa na muhusika amehamishwa Kikazi so tumeshusha iyo price .. narudia Tena sio dalali n muhusika kabsa
Back
Top Bottom