Recent content by bernsoft mayuma

  1. B

    Wazee wa Mathematics

    ngoja nitafute ngilenengo
  2. B

    TCU hawatoi hatma yetu ambao hatukuripoti chuo mwaka jana

    wadau hbr zenu! Jaman kuna recognition ya tcu juu ya vyeti vya online courses kama zile za ALISON
  3. B

    Msaada wa Haraka

    Kuna mtu aliapply mwaka jana akapata chuo lakn kwa kuw ni inservice hakupata ruhusa. Mwaka huu ameenda kuchukua barua akaiambatanisha na maombi ya kufanya udahili upya lakn mpaka saiv akichek profile ameandkiwa kuw ni mwanafunz wa koz fulan chuo fulan kama mwaka jana. Afanyaje ukzngatia na za...
  4. B

    Msaada wa Haraka

    dah? Pole tcu wanaringia ktumbu nami nabonge la muwa. Nimeyapgia jana kwa airtel hayakupokea afu voda aikupatkana
  5. B

    Wazee wa Mathematics

    wadau nainjoy sana. Nisaidien na hili. Proove that the distance of a whole secant and a part of it outside th circle is equal to the squared distance of a tangent from the point of contact with a circle to the point outside where it meets with a secant
  6. B

    ITV nina mashaka na ninyi... Hamna habari ya Lissu?

    jaman tunataka hak ya kufuatilia haki. Kosa la lisu apo ni lipi*
  7. B

    Naomben msaada kwa hili

    Kuna mtu aliapply mwaka jana akapata chuo lakn kwa kuw ni inservice hakupata ruhusa. Mwaka huu ameenda kuchukua barua akaiambatanisha na maombi ya kufanya udahili upya lakn mpaka saiv akichek profile ameandkiwa kuw ni mwanafunz wa koz fulan chuo fulan kama mwaka jana. Afanyaje ukzngatia na za...
  8. B

    Pesa ya Field itatolewa lini?

    Mi kesho namalizia assessment ya 4 manake nimeona hela ni miznguo afu watoto wanataka kupgwa jek
  9. B

    Naweza kurudia mtihani wa O-level kwa masomo ambayo sikufanyia mtihani awali?

    Asanten sana. Nitarudia masomo mawili yan hist na maths kama ni muhmu kurudia mawili. Hstry nilpata D. Apo vp wadau
  10. B

    Naweza kurudia mtihani wa O-level kwa masomo ambayo sikufanyia mtihani awali?

    Kinauche cjakuelewa. Unamaanisha natakiwa kurudia mtihan masomo 7?
  11. B

    Naweza kurudia mtihani wa O-level kwa masomo ambayo sikufanyia mtihani awali?

    Msaada jaman hapo juu. Nina nia ya kure-sit ila kuna wadau wananikatisha tamaa wanasema saiv kuresit ni masomo 7. Na je nin ktatokea nimefeli somo ambalo nilifaulu kwa original sitting. Je wataconsider grade ya mwanzo au hyo nilofeli? Asante
Back
Top Bottom