Recent content by Berna Vise

  1. B

    Siri 5 ambazo hupaswi kumwambia mwenza wako/mume ama anaetarajia kuwa mwenza wako hata iweje

    Copy and paste kutoka kwenye page ya BBC swahili facebook
  2. B

    Inawezekana watu kupangiwa kazi Utumishi bila majina yao kuwekwa kwenye website sehemu ya placement, yaani kupangiwa kimya kimya?

    Wahuni sana ile nimeingia oral wananiambia niwe na aman hamna mtu atapendelewa maana tuna mwangalizi kutoka utumishi
  3. B

    Inawezekana watu kupangiwa kazi Utumishi bila majina yao kuwekwa kwenye website sehemu ya placement, yaani kupangiwa kimya kimya?

    Inauma sana nilikutana nayo na mm hii kitu tumepiga interview hadi practical ya kufundisha ilikuwa Tutorial Assistant UDOM tulibaki 12 na wanaohitajika ni 4 Na walikuwa na ukaguzi mkali sana kila hatua unakaguliwa tena kumbe kuna watu wawili hawakuwa ata na practicing lisence wanawaita wamwisho...
  4. B

    Tofauti Kati ya penzi la mwanamke wa kitajiri na penzi la mwanamke wa kimaskini

    Ni kweli ila hao wa kishua pia wasumbufu kwa vitu vingine ukiachana na pesa
  5. B

    Ni aibu gani uliipata kwenye Interview yako ya Kwanza? Mimi yangu hii

    Mm nilienda interview ya taasisi ya kanisa nilivyoingia sikuona kiti cha kukaa maana kilikuwa nyuma ya mlango sasa kulikuwa na kiti karibu na askofu nikawasalimia nikapitiliza kukaa pale panel nzima walicheka kishenzi mmoja ndo akaniambia kiti chako kile kule Nilipagawa mpaka kiingereza...
  6. B

    Written Interview inavyopukutisha wataalamu

    Kuna mwana tumepiga nae alikuwa anatukimbiza chuo ila walimla kichwa written Haya mambo hayaeleweki maana mwenyewe naona walikosa mtu bora kabisa
  7. B

    Mkasa wa kweli: Mikito ya kimapenzi Shule ya Boarding

    Hapo mbele ukiwa unaelekea aggrey palikuwa panateleza msimu wa mvua niliwahi dondoka nusu nife [emoji23][emoji23]
  8. B

    Jinsi washenga wa michongo wanavyoharibu ndoto za dada/mama zetu

    Hilo ni changamoto tuu tuna matatizo mengi sana ya kuhangaika nayo
Back
Top Bottom