Recent content by Berick

  1. B

    Duni asusa kampeni za kusaka kura za chadema kisa wagombea wa CUF kukataliwa majimboni

    nakerwa na watu wanaojibu kwa kashfa mawazo ya watu... kila siku najisemea kama hii ndiyo attitude ya ukawa. basi mnisamehe gari lenu sipandi.. nabaki chamaless. yaani kuna watu wanadhani wanajua wengine hata muulize Picha ya kwanza kwenye ilani ya ukawa INA nini hajui... halafu anajiita...
  2. B

    Magufuli: Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!

    mbishane wee eee halafu mtashangaa kama Picha zenu wanavijiji wanaotumia simu ya tochi ili kusave charge wanawasoma... Mimi nasubiri tar 25 ila asilalamike MTU.... maana nimeanza kusikia watu wanalalama huko wakati walimpata chizii... hehehe... jamani dalili mojawapo ya kuchanganyikiwa ni...
  3. B

    NEC imetoa ratiba ya maeneo ambayo vyama vya siasa vitakapofanyia kampeni zao

    Niliyaona mapokezi. Ukisema ilisikitishaupokezi upokezi wa magufuli basi nadhani unahitaji ushahidi wa psychiatrist. Haraka sana... He He He he
  4. B

    Watanzania tuwe makini, Slaa anatumika kuingiza nchi kwenye machafuko uchaguzi huu

    Kuna mtu amemtaja magufuli yuko jela? Naomba hoja ya point Hiyo... Hata akiwa CCM aliitwa fisadi na slaa huyu huyu je alienda jela? Pili kama CCM wamekwepa mtu mchafu mkakosa hoja ya msingi ya ushahidi, tuwapongeze. Wameona penye kosa wameziba pengo... Hiyo ni karata ya siasa... Mimi sioni...
  5. B

    Lowasa alichukuaje fomu ya uraisi wakati hajui shida za Watanzania?

    Umesikia Kuna inshu ya wizara yake hajui?
  6. B

    Ngumi kali toka nje ya uwanja wa mapambano

    Mnaogopa nini mgombea wenu si ni made in heaven?
  7. B

    Ngumi kali toka nje ya uwanja wa mapambano

    Mashabiki kama wewe mtamchukia lakini wafuatiliji WA mambo na wasomi wasiopenda ushabiki watafika vizuri
  8. B

    Huwezi kuamini: Madhambi machafu kabisa ya Magufuli yawekwa wazi

    Nadhani vitu vingine muwe mnafikiria. Toka lini kukashifiwa na vyombo vya Habari ikawa sababu ya mtu kuwa fisadi. Kwa Hiyo Kwa sababu mnamsifia lowasa basi tukubali tuu? Hata kama ni ya kishabiki? Naomba ushahidi WA maandishi WA ufisadi huu
  9. B

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Kwa Hiyo aliyokuwa anayasoma mbona hayajapingwa popote Zaid ya kumshutumu? Mtu akiongea toa ushahidi kupinga Hilo ili akae kimya simple as that. Siyo Nina ushahidi... Si utuonyeshe? Du kweli wabongo vijana ni mashabiki wasiopenda kufuatilia mambo
  10. B

    CCM waanza kupepesuka Arusha, wakusanya vijana wao kuandamana Arusha kuipinga CHADEMA

    Tuache kuibua vitu tusivyo na uhakika nazo... Toa makala na ushahidi WA maneno yenu. Sina Chama na sitapiga kura Kwa ushabiki WA maneno kama haya yasiyo na ushahidi... Mbona hukujatolewa pingamizi?
  11. B

    Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

    nadhani tusiropoke sana.... tusubiri aongee ili tujue kuwa hana vision au lah.
Back
Top Bottom