Aliyemtishia bastola Nape jina liliwekwa mtandaoni tukamfahamu ni askar wa ffu ukonga alikuwa depo 2005 lile la uchaguz wa jakaya kikwete labda kama kuna utaratibu wa kubadilisha hawa watu ila huyo ni askari wa ffu ukonga mkaz wa morogoro almaarufu kisanduku alikua bondia..na kama mtakumbukumba...
Very unfair huyu jamaa kalelewa na chama since wayb ack alijitoa kwenye uchaguz na kinana alidhihak na kutimiza kaz yake ya uenezi leo hii anamwagwa kisa Bashite ukistaajabu ya Jecha utayaona ya Pombe..this is Tz....
Uko sawa kabisa wanataka kutuletea mambo ya movie hapo wapotezee swala la vyeti feki eti tunataka hatua zaid ile iliyofanyika ni jinai na wale askar nao tena na bunduki waliwe tu ili iwe fundisho..kamuvi ka bashite ngja tuone
Msituletee drama hapa hao clouds nao ni wanafki tu wanamtengenezea platform ya kujitetea wao ni nani hasa ?achen unafki mawingu achen siasa fanyen yenu ya kaisar mwachien kaisari
Kwahyo hizo hisa ziliuzwa kweli kwa Manji au majitaka? Mana kukingana na hilo tangazo la tigo ni kwamba manji hana umiliki wa hisa huko tigo au imekaaje ebu nisaidie ufafanuz mhe.ZZK
Hiv unapoandika hauon ukakasi wanachofanya watawala we unaona ni sawa tu?jaribu kushirikisha akili yako kwanza kama namb1 anadiriki kukiuka sheria na taratibu eti we unafurahia unajua kaz ya mahakama lakin au unaongea tu? Mikutano mmepiga marufuku sjui kwa sheria ipi ukiambiwa madikteta...
Unachojaribu kusema ni sawa kabisa lakin kama ni kweli tambua hyo ni fogery ambayo ni criminal offence,watu wa hivo wako wengi sana wana uwezo mkubwa lakn tatzo alighushi kama itakua kweli ni bora angejulikan ni form4 with zero division that is just an academic accident kama ni kweli utendaj...
Kiukweli hata mimi sikumuelewa kule kulalamika kitoto namna ile mana yake nini leo kapewa dhamana ya uwaziri wa na yeye ni wazir wa sheria kama ali9na kuna uonevu kwahyo informer na mda wa rufaa umepita si kuna pardon of the president?
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo haumfikii hata mtoto aliyezaliwa leo toa pumba zako hiv watu kama hawa kwanini wasipigwe tu chini na hzo thread zao tusizione wanatia kichefuchefu au ndio umetumwa mana tukisema tufanyie kaz maupuuz ya hivo hata nanii nae tunaambiwa si msukuma mana kule hakuna...
Kwani mzee "Tyson" kulikoni alikua hajajiandaa vizuri kukipiga mtaan au kuna nini nyuma ya Pazia mana si kwa kukomaa namna hyo au kuna maelekezo nini? Faza tulia lea wajukuu ikiwezekana fungua kanisa uwe mchungaji bas maji yashakuacha hayo....
Ili kuthibitisha ubakaji lazma kuwepo na muingio wa uueme kwenye uke "penetration" labda tufahamishane kwenye kuprove huyu ni shoga ni element ipi inatakiwa iwepo? Je ukimfikisha mahakamani na akakataa mahakama ikakutaka uthibitishe pasi na shaka kuwa yeye ni shoga afande wangu kamishna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.