na pia ukiwapa mkwanja wanapga skumbili wa 2pia kapuni. wanashobo na mangoma ya kinigeria wakat watnzania wenzao 2nauwezo mzur kmziki. amini usiamini kitaa kuna vpaji vyote waimbaji mpaka maproducer wanye miguso adimu.
vipi muziki wa bongo mastar ni walewale wa kila siku? ma dj wa radio station inueni vijana wetu chipkizi, msiamini majina ya studio kubwa na wasanii wakubwa kama wao ndio wakali zaidi no! kuna vijana undergrounds wanafanya game safi kabisa muwape nafasi.
Msaada wa mawazo kwa wadau.
Mimi nina mschana my gfriend, sikuwahi kushare nae tendo la ndoa sababu alikuwa bado masomoni o'level shule fulan jiji Dar.
kwa sasa amehitmu form 4 but kuna siku alikuja home kunitmbelea nikamkaribisha vizuri na kwa kuwa alikuwa ni mpenzi wangu tulipeana romance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.