Recent content by benteke

  1. benteke

    Serikali: Hospitali ya Muhimbili kujengwa upya, itawekewa miundombinu ya kisasa

    Ni wakati sasa serikali ikafikiria kisasa zaidi...hii hospital ya muhimbili ingeachwa waende Kigamboni hapo wajenge hospital inatayo kua ina hadhi ya kidunia...watu watoke mataifa mengine waje Dar kutibiwa kama ilivyo india na Dubai. Hapo paache kama makumbusho
  2. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Sasa mambo kama hayo ndio yananizidishia
  3. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Inasumbua sana
  4. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Niko poa mbona navaa safi tu.
  5. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Wanonekana mjanjamanja..
  6. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Navaa fresh tu sijui ni nini. Hata nikiwa shule kikitokea kitu lazima niwe kwenye list ya wahisiwa.
  7. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Sili jani mkuu...sijui ni nini
  8. benteke

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Wazima wandugu, hili tatizo ni mimi tu au kuna mwingine linamtokea. Nikienda kwa vibanda vya mpesa mara nyingi wanataka Waone SMS iliyorudi kwangu ndio wanipatie pesa. Nikienda office za watu utaona mdada anahamisha pochi yake na simu, Bank teller anachukua muda mwingi kunihudumia.. saa...
  9. benteke

    Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

    Ndugu, kanisa halijasema chochote wala halijaingilia kazi ya Polis. Kwa nini unatudhihaki hivyo? Kwa nini usipambane na mleta mada? Huwezi kujua ni jinsi unaumiza watu. Please.
  10. benteke

    Rais Magufuli akutana na Viongozi wa vyama vya Siasa nchini, Maalim Seif(ACT-Wazalendo), Prof. Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi)

    Kwa kweli leo umependeza saana. Umependeza kweli kweli mheshimiwa. Mungu akubariki sana.
  11. benteke

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Hapana ndugu yangu ukweli tuuseme
Back
Top Bottom