Recent content by Benson Mramba

  1. Benson Mramba

    Kama Trump kaweza kukutana na Putin Mama Samia anakwama wapi?

    Kama kuna mgogoro mkubwa duniani ni pamoja na mgogoro wa Urusi na Ukaine. Lakini sasa watu wanapambana kutafuta suluhu. Israel na Iran wameweza kukakaa pamoja na kukubaliana hivyo hivyo kwa India na Pakistani. Sisi tunafeli wapi? Dunia inapambana kumaliza migogoro iliyopo sisi tunapambana...
  2. Benson Mramba

    Hivi kwa mfano tukiwekewa vikwazo vya kimataifa na Zanzibar itahusika?

    Nauliza tu ili baadae tusije kusema Raia wa nchi nyingine wametuharibia nchi yetu.
  3. Benson Mramba

    Tetesi: Eti yule askari aliyemsukuma Lissu pale kizimbani alishayaaga mashindano

    Kama ni kweli hii inapaswa kuwa alarm kwa kila anayejiingiza kwenye hii kesi ya mchongo hasa wale mawakili na wanaowatuma
  4. Benson Mramba

    GE2025 Bilioni 100 inaweza kununua uchaguzi

    Kwa mujibu wa sheria za gharama za uchaguzi Mgombea Urais anapaswa kutumia kiasi kisichozidi bilioni 25 katika kampeni zake. Bilioni 100 ni mara nne ya kiasi elekezi. Isitoshe wagombea wengi wa CCM ni wagombea wanaotetea nafasi zao hivyo wengi wanajimudu kikampeni so kwa kiasi kikubwa gharama...
  5. Benson Mramba

    Mpaka sasa Ndugu Polepole ana kesi ya uchochezi labda na Uhaini pia

    Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030. Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise...
  6. Benson Mramba

    GE2025 Msafara wa mabasi ya CCM takribani 20 yatinga Chamwino kumsindikiza Rais Samia, sio kodi zetu kweli hizi?

    Duh Mabasi ni mengi sana zaidi ya 10. Bado magari ya msafara, viongozi wa serikali sehemu husika na watumishi wa umma jumla watu wakushangaa magari na mabasi kila mkutano nyomi inaweza kusafirishwa mkutano mmoja kwenda mkutano mwingine. Kiufupi hakutakuwa na ukosefu wa nyomi kwenye mikutano...
  7. Benson Mramba

    PreGE2025 SI KWELI Mke wa Ndugai amejiuzulu utumishi wa Umma

    Naomba kujua kama ina ukweli wowote hii.
  8. Benson Mramba

    GE2025 Kwa maandalizi ambayo Mama Samia amefanya kwa ajili ya huu Uchaguzi Polepole na agenda zake anahitaji muujiza

    Kuna kitu kinaitwa point of no return it is either you win or loose in the battle field. Live or die hard Mama Samia amesha invest sana kwa ajili ya kampeni za mwaka huu. Asipogombea kwa mfano nani atamfidia gharama zake? It's obvious hawezi kukubali hasara kubwa namna hii. Leo katika kuchukua...
  9. Benson Mramba

    Kikwete aliposema Mzee Kisebengo anaweza kuzuia mvua isinyeshe ilikuwa kweli au masihara?

    Katika hotuba yake pale Kwala wakati wa uzinduzi wa bandari ya nchi kavu miongoni mwa mambo aliyoyasema Mzee JK ni kuwa aliulizwa na Mh Rais kuwa huku kwenu hakuna wazee wanaoweza kuzuia mvua? Rais Mstaafu JK akasema alimjibu Mh Rais kuwa yuko Mzee mmoja maarufu jirani pale anaitwa Mzee...
  10. Benson Mramba

    Je CCM wanatafunwa na dhambi ya ubaguzi kwa wapinzani?

    Mwl Nyerere aliwahi kusema dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu huwezi kuiacha. Pia Mwalimu alisema kinachowafanya Watanganyika kusema sisi Watanganyika ni uwepo wa Wazanzabar, na kinachowafanya Wazanzibar kusema sisi Wazanzibar ni uwepo wa Watanganyika. Aidha Mwalimu alisisitiza...
  11. Benson Mramba

    Je Magufuli aliwafanya wanamtandao kutoka kuwa wanasiasa hadi kuwa genge?

    Newtons 3rd law of motion inasema To every action there is an equal and opposite reaction. Kwenye kila kani kuna Kani mbadala inayolingana nayo. Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Humphrey Polepole ni kuwa kundi analodai ni la Wanamtandao lilikuwepo tangu 1995 hadi sasa inasemekana lipo...
  12. Benson Mramba

    Mchungaji Dr Geofrey Malisa anayepinga mchakato wa mkutano mkuu wa CCM ni nani?

    Ameishi sana Marekani na ni mchungaji wa level ya Phd
  13. Benson Mramba

    GE2025 Rais Samia amuondolea hadhi ya Ubalozi Ndg Humphrey Polepole

    atarudishiwa na Rais ajaye kama ilivyokuwa kwa Costa Mahalu
Back
Top Bottom