Jamani mimi ni blogger, na nimejisajili adsense. Cha ajabu wameshanikubalia lakini tatizo sipati matangazo, na ninatumia template nzuri, yaani v2.
Hapo mwanzo niliwahi kuwa na adsense account lakini nikabonyeza tangazo bahati mbaya, ikafungiwa.
Pliz nishaurini nifanye nini ili nipate matangazo...
Kaka mimi pia najitahidi kufanikiwa kupitia blogging. Kwa kweli umenitia moyo sana maana nadhani stori yako anafanana na yangu, japo nataka hii iwe ndo kazi yangu na hata hapo baadaye niweze kufungua ofisi itakayosajiliwa kabisa na serikali.
Blog yangu ni Prince Bewisa Swahili™ karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.