Recent content by Benson kaile

  1. Benson kaile

    SHAIRI LA MUYAKA Bin GHASSANY WA MOMBASA, KENYA.

    Akutendeae Mema, Kushukuru ni lazima Jaza ya mema ni mema, Maovu kutoyatia Mbona umeghafilika? Kwa jambo lisilo shaka? Shetani umemshika, Na kumuacha Nabia? Unajifanya Mtesi, Kwa Mola wako Mkwasi Unavitupa viasi, Sina la kukwambia Silaha zote ni Zake, Wala na riziki Zake Unakunywa maji Yake...
  2. Benson kaile

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Wadau naomba maelekezo kwa anaye fahamu jinsi ya mtu kumrushia mwenzie Vocha baada ya yeye kuijaza kwake na aweze kui forward kwangu..?? Labda kama kuna code za kutumia au mfumo wowote! Tafadhali.
  3. Benson kaile

    Je, ni kweli wanawake ni wabahili kiasili au ni chimbuko la utandawazi?

    Au wanaume wanajituma zaidi bila kushirikishana na wenza wao kuhusu matumizi hadi kufikia Wanawake kujitoa!!??
  4. Benson kaile

    Je, ni kweli wanawake ni wabahili kiasili au ni chimbuko la utandawazi?

    Tupeane mawazo pevu maana hali inazidi kuwa mbaya kimaisha..kuna familia zinafika wanawake hata pesa ya mboga ni ngumu kuchangia ila kwenye vipodozi, urembo binafsi na michango ya familia yake yuko mstari wa MBELE!!
  5. Benson kaile

    Nina watoto, sina nyumba na sina mke

    Politics is an art of the goverment
  6. Benson kaile

    TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

    May her soul rest in internal peace.
Back
Top Bottom