Recent content by BENNY MAO

  1. B

    Bavicha manyara wanena sasa

    Nawasiwasi na akili yako we unayejiita Aminango. Acha utoto soma na uelewe UKAWA maanake nii? ati Porini kiukweli ww kama uko mgn bac utakuwa kibaka anayeishi kwa mlo 1 kwa cku.
  2. B

    Tibaijuka: Hoja ya upinzani ni kelele

    :der:Huyu profesa leo kiukwel kajidhalilisha, Niliwaza hivi mume wake akimkwaza huwa anafananaje?:lalala:
  3. B

    Bavicha manyara wanena sasa

    Baraza la vijana wa chadema mkoa wa manyara (BAVICHA) wamekusudia kukutana mwezi ujao makao makuu ya mkoa huo Babati kujadili mambo muhimu yahusuyo vijana ikiwemo ushiriki wa vijana ktk kugombea nafasi za uongozi ndani ya chama na nje ya chama. Baraza hilo limeandaa mkakati wa kuwashindisha...
  4. B

    Wako wapi Mtela Mwampamba, Magafu, Kisandu, Mchange na Gwakisa?

    Kiukwel nimeamini anayekula kwa mikono miwil hashibi. Tulikuwa nao na ss hatuko nao tena!!!
  5. B

    CCM wapata ajali mbaya ya gari Kalenga, waumia vibaya mno!

    mungu awasaidie na kuwaponya majeraha yao ila ushindi niwa CHADEMA KALENGA
  6. B

    kumekucha Kalenga kipindi cha lala salama

    Naamini grace atakuwa mwarobaini wa matatizo ya wana kalenga cyo huyu mtoto wa pampac
Back
Top Bottom