Recent content by benjamin kayombo

  1. benjamin kayombo

    Chuo gani ni kizuri katika kufundisha kozi ya Sheria?

    Ruaha university college ( Rucu ) iringa , Mzumbe , Vyuo ndo hivyo vyenye elimu bora ya Sheria.
  2. benjamin kayombo

    Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

    Wachaga hapo kwenye Uwizi Nakupa 100%
  3. benjamin kayombo

    Epuka makosa haya katika wasifu wako unapoomba nafasi ya kazi

    Vyeti vyangu vya diploma Vina majina ma3 cha form 4 majina mawili inakuwaje hapo.
  4. benjamin kayombo

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Inatakiwa Upate GPA ya 3.0 Wanapokea Vyuo vyote asikudanganye mtu Mimi nilisoma Open
  5. benjamin kayombo

    Msaada wa haraka gari za IT zinazokwenda Lusaka, Zambia

    powa ila labda apate dereva anayemjua lakin akitaka atumie nauli yake asave apande from dar to tunduma halafu tunduma achukue gari had lusak
  6. benjamin kayombo

    Msaada wa haraka gari za IT zinazokwenda Lusaka, Zambia

    umbali wa kitwe sio sawa na Lusaka Na Kama ni deal namshauri asi safiri kwa deal mambo ni mengi sasa hv.
  7. benjamin kayombo

    Msaada wa haraka gari za IT zinazokwenda Lusaka, Zambia

    from dsm to lusaka by bus [emoji117]falcon 130k 2days on da road IT hawaruhusiwi siku hz course sio PSV
  8. benjamin kayombo

    Msaada wa haraka gari za IT zinazokwenda Lusaka, Zambia

    zambia huwezi kwenda kwa 70 bus lenyewe tu Falcon 130k
  9. benjamin kayombo

    Nimepata G.P.A YA 2.8 katika Kozi ya Uhasibu nahitaji kusoma Degree naombwni ushauri

    Degree ni Above 3.0 according to TCU nafasi bado ipo unaweza pigana ili uweze jiunge na degree ukienda kusoma foundation course Open university
Back
Top Bottom