Recent content by BENJA1

  1. BENJA1

    Naomba msaada wa ufadhili

    Ktk maisha lazma upitie changamoto nyingi na jitahidi kuzitatua kwa kujiamini kwanza mwenyewe juu ya mikajati uliyopanga ktk maisha yako May GOD bless you.
  2. BENJA1

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    Clinical medicine ndio iko juu zaidi mkuu ina chance nyingi katika specialization ya MEDICAL DOCTOR (MD) compared to pharmacy.
  3. BENJA1

    Project management Professional ( PMP certification), PM Books na Apple Ipad Air 2

    Apple Ipad zipo maeneo meng pande hz za Dar vp upo pande za wap ww mkuu nikupe info au contacts nikudirect.
  4. BENJA1

    Tupia swali lako

    Ask any of your questions about Health programe Technician certificate and Diploma for Clinical medicine & Nursing upon how to apply and minimum requirement for application and other relevant issues. Your welcome for more info and clarification. 0718652147
  5. BENJA1

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    Diploma utapiga 1 year +
  6. BENJA1

    Anayesomea clinical medicine anaweza kuja kusomea degree ya medicine?

    Binafsi mimi ni clinical officer nafanya kaz Iringa referal hospital pia kuna madaktari wa ngaz ya cheti tuko nao tunafanya kaz as a team! hilo ni jibu kwa aliyeuliza kuhusu kufanya kaz hospital za Rufaa. ahsanten
  7. BENJA1

    Naombeni ushauri: Niliacha chuo sasa nahitaji kurudi tena masomoni

    Jamani labda kapitiwa tu mwenzetu we're supposed to correct and advice him to what he want to us!
  8. BENJA1

    Kuchelewa kwa matokeo kidato cha nne ni kwasababu ya matokeo Mabovu

    Kwa mujibu wa taarifa ya Mh. Charles Msonde akihojiwa na waandishi wa habari kuhusu lini atatangaza matokeo amesema mitihani tayari imesahihishwa wapo wanapanga madaraja: Chanzo cha habari ni gazeti la mwananchi la tar 8 Feb 2015!
  9. BENJA1

    Nataka kuspecialize Nina Diploma ya Nursing Nifanyeje ?

    Heshima kwenu wakuu naomba kufahamu ni course ip? nzuri kwenda kusomea degree kwa mtu mwenye Diploma ya nursing anayetaka kuwa special na kitengo fulani?
  10. BENJA1

    Natafuta chumba kilicho karibu na chuo PHCI Iringa

    Mi ni mwanafunzi wa first year Primary Health Care Institute PHCI-Iringa natafuta chumba kilicho karibu na chuo umbali usiozidi 2Km kwenda chuoni na kodi isiyozidi 30,000. mwenye tetesi anitafute kwa 0765005062! Ahsanteni.
  11. BENJA1

    Naomba kufahamu kuhusu RPL

    Msaada kwa mtu mwenye division 4 ya 26 ya 2012 nae anaweza kupga msuli wa RPL?
  12. BENJA1

    Ushauri wenu, nifanyeje?

    Niliapply Technician certificate in clinical medicine nishachaguliwa St.Aggrey college of health allied science Mbeya nashindwa kufanya transfer to Primary health care institute-Iringa because system stop login fail to submit my transfer request nifanyeje jaman?
  13. BENJA1

    Naomba msaada jinsi ya kupata joining instruction ya chuo cha Kibondo school of Nursing-Kigoma

    jamani kama kuna mtu ana joining instruction ya chuo tajwa hapo juu anisaidie kunitajia mahitaji muhimu na mawasilio ya uongozi wa chuo! Ahsanten.
  14. BENJA1

    Nashindwa kuapply NACTE

    Mwanzoni niliapply afya kupitia Nacte nimechaguliwa chuo cha private ila nimeshindwa ada zao kubwa 2.4M nikaona bora niapply tena teaching kupitia Nacte nimeshindwa second step wanasema error your email and exam index no. already used jamani nifanyeje? naomba msaada wenu.
Back
Top Bottom