Ukitaka Kufanya Application Baada ya Kujaza Personal Details Sehem Ya kuchagua Instituion /Category zpo mbili tu na wanasema choose your Priority wamewek kada mbili afya na elimu, pia Ukifungua Nacte Ile Sehem Ya Category Zimeorodheshwa Mbili tu Available Category Sas Shda / Tatzo Kuna kada...
JAMANI NAULIZA HIZI KOZI ZINGINE TOFAUTI NA AFYA NA ELIMU ,ONLINE APPLICATION INAKUWAJE MWAKA HUU MBONA OPTION YAO KATIKA CATEGORIES HAIPO ?? MSAADA WAKUU NMESHNDWA KUTUMA
Ukitaka Kufanya Application Baada ya Kujaza Personal Details Sehem Ya kuchagua Instituion /Category zpo mbili tu na wanasema choose your Priority wamewek kada mbili afya na elimu, pia Ukifungua Nacte Ile Sehem Ya Category Zimeorodheshwa Mbili tu Available Category Sas Shda / Tatzo Kuna kada...
Mimi Naomba kuuliza Kuhusu kUFANYA Application Za kada za IT,Tourism,agriculture, nazingine tofauti na kada za afya na elimu ,kwani nmejarbu kufanya application za IT lkn Option haipo kuna Afya na Elimu tu afu deadline ni moja jee? hzo kada zngine hawajafungua application au inakuwaje?/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.