Hivi kuna uwezekano wa kupata mkopo kutoka serikalin wa kwenda kusomea degree ya MD ukiwa na diploma ya CO baada ya kuimaliza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba kuuliza
Mimi ni kijana mwenye miaka 18. Moyo wangu huwa unadunda kwa nguvu yani hata nikiwa nimeshika kitu mkono wa kushoto unatetemeka.
Naomba ushauri vitu gani niache ili urudi katika hali yake ya kawaida na hili limesababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo yangu ni:
Phy - C
Bio - B
Chem - B
Geo - C
Kisw - C
Math - A
Eng - C
Literature - D
Dini - C
Civ - C
Na nina ndotoza kusomea CO kupitia college, halafu after CO nisomee tena MD. Je, inawezekana? Na je, chuo kipi cha serikali ni kizuri zaidi, na kwa hizi maksi zangu naweza pata nafasi...
Matokeo yangu ni:-
PhyC
BioB
ChemB
GeoC
KiswC
MathA
EngC
Literature D
DiniC
CivC.
Na Nina ndot za kusomea CO kupitia college, af after Co nisomee Tena MD je inawezekana na je chuo kipi cha serikali ni kizuri zaidi, na he kwa hiz maks zangu naweza pata nafasi na ada INA range kweny sh ngap...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.