Nani kakwambia mzoga hausikii joto ,hivi hampati tafakuri yakua kinacho oza ni mwili tu. Au mana ya kufa nini ??? Hebu fikilia ukiwa usingizini unaota nini hukutokea kinakua nini hicho je unakua wapi hapo unapopata njozi , mtu wakweli ni nafsi Wala sio mwili the inner you ,not the outer you...
Islamaphobia hio , na utakua na chuki zako binafsi na uisilamu , kwani ukatoliki ni uroma au uanglican ni unini ,je usabato , Sasa kuanzia Leo jua kua uisilamu na uarabu ni vitu viwiili tofauti mana kiarabu kilikuwepo kabla ya mtume hajatumwa .ila kwasababu alietumwa lugha yake nikiarabu ndio...
Then what's the point lol!! Hapo hakuna tofauti wote tupo based kwenye Imani .Iman yangu Mimi nikua Allah ndie muumbwa wa kila kitu nayeye ndie wa mwanzo na Wa mwisho hakukuwepo chochote kabla yake . Kwahio hata wewe huna uhakika na unachoongea kua mungu hayupo ukiwambia kuzibitisha hutoweza...
Hayo yote si katika uislam bali niwapuuzi fulani wasio jua dini nakuzusha katika dini uislam sio fujo nakukera watu,mfano kama hicho unachokisema kakipo katika usilam.ukishatoa adhana unatulia Kuna ibada nyingi sio kuanza kupiga soga zauongo uongo
Mkuu hakupatiwa video kivipi??? Je ulitaka video apatiweje?? Aletewe screen uwanjani ?? Alitoka kwenda kuangalia kwenye screen hio video hakuikuta ??? Mbona mnalalamika sana kwan kwenye premier league haukuwahi ona kitu hicho ?? Pale kilichotokea ni referee kugawa penalty na wachezaji wa orando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.