Recent content by Benaco

  1. Benaco

    Cashier/Accountant anahitajika

    Habari JF, Anahitajika Mdada mwenye Diploma au Certificate ya ACCOUNTANT kufanya kazi Dar es Salaam. Awe anauelewa mzuri wa Ms Excel na Outlook. Mshahara ni Maelewano. Nitumie CV kwa Email yangu. Email: FurahiniConrad@gmail.com MWISHO WA KUTUMA MAOMBI 20/11/2020
  2. Benaco

    HR/Administrator officer anahitajika

    Habari JF, Anahitajika Mdada mwenye Diploma au Certificate ya HR/PUBLIC ADMINISTRATION kufanya kazi Dar es salaam. Awe ana uelewa mzuri wa Ms Excel na Outlook. Mshahara ni Maelewano. Nitumie CV kwa Email yangu. Email: FurahiniConrad@gmail.com MWISHO WA KUTUMA MAOMBI 20/11/2020.
  3. Benaco

    Security services/huduma za ulinzi

    MWANZA | SHINYANGA | KAHAMA | KIGOMA | GEITA | TABORA (Tuletee kazi tukupe 10%) For your safety and security Services; - Un-armed Security Guards - Armed Security Guards - Dog Handlers - Bodyguard/Bounces - Private Investgators - Escorts/Convoys - CCTV cameras - Electric Fences - Motor...
  4. Benaco

    Uber/bolt (taxify) driver account

    Habari mdau, Nahitaji mdau mwenye Uber/Bolt account ambayo iko active ili nisogeze maisha. Shukrani. Unaweza nicheki direct 0627170013
  5. Benaco

    House4Sale Ford Ranger XLT 2006 pickup 4x4

    Ford Rangel XLT 2006 AC ya Kujaza Diesel Manual Location: Mbezi Beach Simu: 0774819712 Gati imekaza Bei 7ML inavunjika na IST au VITZ isiwe na kipengele. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Benaco

    Car4Sale Magari used Tanzania

    Ford Rangel XLT 2006 AC ya Kujaza Manual Location Mbezi Beach Simu: 0774819712 Gari imekaza Bei 7ML inavunjika na IST au VITZ isiwe na kipengele. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Benaco

    Fundi wa CCTV & alarm systems anatafutwa

    Anahitajika haraka kijana fundi wa CCTV na mfumo wa alarm kuajiriwa. Asiwe na umri zaidi ya miaka 30. Kituo cha kazi: Morogoro Mshahara: Makubaliano Mawasiliano: 0738 926 949
  8. Benaco

    Hospitali ya Rabininsia huduma zenu ni mbovu, boresheni

    Yaani wala hata hunipi kazi kubwa kujua elimu yako na uelewa wako, kama umeshindwa kujua kama hospital zote za serikari na binafsi ziko chini ya wizara yake basi we bure bora unyongwe mpaka ufee.
  9. Benaco

    Hospitali ya Rabininsia huduma zenu ni mbovu, boresheni

    Sina ugomvi na mtu yoyote katika hii hospitali ila ni kati ya hospitali zenye huduma mbovu sijawahi kuona majengo yanawasitiri sana. Jana nilikwenda saa1 asubuhi kutibiwa baada ya kujisikia maumivu wakati najisaidia haja ndogo nikaona kwakuwa niko off leo siendi kazini wacha nikamuone Dr...
  10. Benaco

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Natafuta Chumba Self kiwe na Aluminium Tiles Goba au mbezi beach
  11. Benaco

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Natafuta Nyumba nzima ya vyumba viwili au vitatu, seble, kitchen, dining na geti mbezi goba kuanzia njia panda mpaka mbezi round about.
  12. Benaco

    Stress Free Zone

    Mbona hii guest wanatufukuza kabla ya saa4 asubuhi? Siwaelewi au wanatumia masaa ya USA [emoji4]
Back
Top Bottom