Unapoambiwa wanawake ni jeshi kubwa usihoji ni jeshi lipi, wewe elewa tu kuwa hawa watu ni jeshi kubwa na wakiamua kuvamia kambi hawatishwi na ukubwa wa adui. Wanapambana na majitu na wanawakalisha chini.
Hakika Kipenda roho hula nyama mbichi. Ama Mwenyekiti naongopa?
Ni mkoa wa pwani kabla hujafika chalinze kuna sehemu inaitwa vigwaza kuna mnada wa nyama ya mbuzi ukifika uliza njiapanda ya kwenda kwala kwenye bandari kavu utaelekezwa!
In most cases, mtoto kwa mzazi hakui hii ina apply kwa mama na kwa baba mwenye sifa za ushua lakini sio kwa baba mwenye sifa za ubandidu kama mwenye uzi.
Tafsiri ya mzazi ni baba lakini ili kumpa sifa yake kulingana na matendo yake kuna dingi alafu kuna mshua mwenye uzi ni dingi yaani mzee wa ovyo mwenye itikadi za kikoloni asiye jali zee bandidu yaani Hana hata chembe ya ushua!
s
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.