Inakuaje hauoni kujinasibu kwao ni dhahiri kua walicho hawakifurahii.. haijalishi vitabu vyao vinasema nn kama mtu hataki inanzia ndani(kujikana ni kansa na inakula taratibu,hata ukipewa elimu haita tosha)
Jina lina value kwako ww unae litngaza.. sidhani kama kuna point ndogo on this b’coz niswala la nchi na si mtu binafsi. Ikikusumbu jiite Mtanganyika ukiwa nje itasaidia.
Usihangaike kuongea nimaisha walio chagua,wana pretend not to feel anything lakini wanajua “hata mtt hapend kutumiwa,sembuse jitu zima lililo tumia hela za mzaziwake kwenda shule[emoji57][emoji57][emoji57]”
Wakitoa fursa ni kuzitumia.. acha waimbe hakisawa huku wanashusha chupi We don’t feel...
Kwenye haya kunakua na kipindi cha mpito mpemda na usichoke kumweka karibu,wanaume tunamengi tunapitia tunapotoka kwenye nyumba zetu huwez jua
Jaribu kuakaribu ukichunguza shida ni nn hasa.
Jamani acha ujinga hili swala nila afya ya mwili sio roho,mna weka mizunguko mingi kama unahitaji chnjo then chanja kama huitaji step back miasita stini na sita.. are all nonsense.
Achakusema vitu ambavyo havipo,ujinga wao ndio unao wafanya kushindwa kuelewa uhalisia wa mambo Mungu hampangii binadamu ndoa ndio maana kampa utashi wa kufanya maamuzi. Jambo linalo ongelewa hapa nikama elimu tuu ya kumsaidia mwanaume na mwanamke asije akafeli kwenye utashi aliopewa kwa yale...
Amini usiamini ni kwa maslai yao,kwani wanajua misingi yote ipo ndani ya familia na kama wakifanikiwa kuharibu huo msingi maadili hayatakuepo na watao athirika hapa ni watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.