Recent content by Ben Seth

  1. B

    Waziri Mkuu afanya ziara ya ghafla bandari, aamrisha kukamatwa kwa maafisa wa TRA

    Uozo ukiwa mwingi unafunika mazuri ndugu! Safi sana wasijisahau wajue wamepewa dhamana ya kuwatumikia wananchi
  2. B

    Lowassa hatachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM urais 2015!

    Kwani ulitegemea Mbowe na Silaha watamsifia Lowasa?
  3. B

    Asumpta Mshama aomba Dr. Kamala apewe 'mapesa mengi' ya ubalozi ili asikumbuke Ubunge

    Ni mbunge wa kuteuliwa ama wa kuchaguliwa! Nina mashaka na uwezo wake wa kufikiria
  4. B

    Kumbe ishu haikua Pengo bali ni Lowassa kuzindua Helikopta ya Gwajima!

    Busara itumike tu,je ukiambiwa ukatoe ushahidi kama ulimshikia mguu wakati anampa hiyo mimba utakuwa tayari??
  5. B

    Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

    Audio nayo ilikuwa ya kutengenezwa? Tuwaachie wanasheria jmn
  6. B

    Nyumba ya Askofu Gwajima imezungukwa na Polisi sasa hivi

    Kama akili kingekuwa kiungo cha uzazi basi wengi wangekuwa matasa,Kwann wasingeenda polisi na defender au cruiser 1? Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma, hii inanikumbusha kesi ya Ponda alipopelekwa na helicopter morogoro! Nina imani sana na polisi lakini sio kwa hili
Back
Top Bottom