Tafuta mti ambao juu yake umeota mti mwngine
Ukiupata fanya yafuatayo
Chukua mihogo 2 ambayo inapacha nenda nayo pale ktk ule mti ukifika umwagie maji yaliyo na unga wa mtama mweupe na maji hayo yawe yametekwa siku hiyohiyo
Omba huo mti uku umeushika huo mti kwa mikono 2(omba unachohitaji}...
Dawa hii ni nzuri sana kwa wasioshika ujauzito kwa sababu mbalimbali kama kutokubalance kwa hormone na matatizo mengine....
Pia dawa hii hii watumie watu ambao akishika ujauzito unatoka.
Dawa hii usiitumie kwanza kama una UVIMBE TUMBONI AMA MIRIJA YAKO YA UZAZI IMEFUNGA(IMEZIBA)
Nina maana...
Najua unaweza kushtuka baada ya kusoma kichwa cha habari,lakini huo ndiyo ukweli wa mambo yanayoendelea kwenye ulimwengu wa giza,kuna mengi ya kutisha na kusikitisha yanafanyika
ungana nami nikuelezee tukio nililolishuhudia katika kijiji cha Njungwa mkoani Morogoro
''ilikuwa ni siku ya pili...
TIBA NDOGO YA KUJIFUNGUA
WAKATI WA KULALA CHUKUA UKINDU MMOJA KISHA NUIA.
SEMA( MM FLAN BIN FLAN NIMEFUNGWA ILA ALIYENIFUNGA SIMJUI,NA SIJUI KAMA MWANAUME AU MWANAMKE, BASI NA MM NAJIFUNGA.)KISHA FUNGA UKINDU HUO NA UWEKE CHINI YA MTO HALAFU LALA.
UNAPOAMKA ASUBUHI SEMA NILIJIFUNGA MWENYEWE...
kwa tunaoamini uchawi upo.
Kumfunga mtu ni kitendo cha kumzuia mtu asifanye jambo fulani katika hali ya kawaida na alifanye kinyume na kawaida
mfano mwanaume anaweza kumfunga mwanaume mwenzake asisimame uume wake kutokana na mwanaume huyo kutembea na mkewe na kuonywa bila kukataa au...
kiukweli mkuu siwezi sema moja kwa moja kuwa walikuwa ni mapaka wa kawaida au laa sababu nitakuwa nabahatisha,ila ukipenda kujua zaidi utanitafuta private
Kama utataka ushinde kila mchezo utakaocheza chukua moyo wa popo, ukaushe na uufunge kwenye kitambaa chekundu{hirizi}kisha jifunge hirizi hiyo kwenye Mkono wa kulia kwa kutumia uzi wa zulia jekundu na nenda huko mchezoni, ukianza kucheza utahisi mtu anakuelekeza vya kufanya fuata hiyo sauti bila...
Naam wapendwa habari za asubuhi
Leo nipo hapa kufichua siri zinazofanywa na wataalam feki kwa kutumia mti huo pichani
mti huu kwa jina la ukaguruni niliambiwa unaitwa MFUDIKIZA....lakini kila sehemu kuna jina lake kutokana na lugha yao,angalia picha kwa makini utaujua kwani ni mmea maarufu tu...
Mavi ya paka ni silaha nzito sana zaidi ya ak-47 huko uchawini,wachawi wengi huyatumia mavi ya paka katika kuingia ndani ya nyumba na hata kusababisha maafa makubwa kwa mkusudiwa wao.
Mavi ya paka yanapochanganywa na miti ya hanjar na faijar na unga wa fuvu la kichwa cha mtoto...
MBAAZI- Huu ni mti maarufu sana kwa watu wengi na hutumika kama mboga ama chakula hasa kwa watu wa pwani
Pia kwa upande wa wa waganga,wanga,wachawi na baadhi ya majini na mashetani pia wanautumia mti huu kwenye mambo yao
Mbaazi ndiyo mti pekee wenye mambo mengi kwenye utibabu wa asili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.