Recent content by Ben Bella

  1. Ben Bella

    Rais Samia karibu Kusini mwa Tanzania

    Kwa sasa kusini ni "hub" muhimu sana katika maendeleo ya nchi hii. Huyo huyo Samia katoa bilioni 260 alizokopa toka AfDB kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya uchumi inayounganisha miji ya Mtwara, Nanyamba, Tandahimba, Newala hadi Masasi ambayo ina urefu wa kilometa 160. Tunaposema "Kusini kuchele"...
  2. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Yaani hao polisi ni hatari sana. Wamemsulubu hata Diwani!?
  3. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Wenyewe wanaujua mziki wake. Hawatasahau kipigo walichokipata uchaguzi mkuu wa 2015. Kilikuwa cha paka kidokozi hasa.
  4. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Hujakosea mkuu, maana yake ni "Bwawa la Simba".
  5. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Ni kweli kiongozi. Muarobaini wa haya yote ni katiba mpya pekee.
  6. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Umeongea ukweli mtupu mkuu. Si unaona hata mteule wa Rais naye anawakandamiza wananchi kwa kubariki huu unyama wa hawa askari akina Tesha.
  7. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Sio kwa Tandahimba ninayoifahamu mimi. Hapa CCM wana mlima watavuja jasho sana 2025.
  8. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Yawezekana hawa polisi wanafanya uharamia huu wote wakijivunia kuiba kura nyakati za uchaguzi.
  9. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Hawa polisi wa Tandahimba ni zaidi ya waporaji mkuu. Yaani wanazunguka hata majumbani na madukani kupora mapikipiki kisha huyapeleka kituoni ambako ukienda kufuatilia unapigwa faini kubwa ambayo itakuduwaza na hupewi hata EFD receipt.
  10. Ben Bella

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Kiukweli askari wa Tandahimba ni wasumbufu sana kwa waendesha pikipiki. Nilienda likizo mwezi Agost mwaka huu. Siku moja wakati natoka kijijini naelekea Tandahimba mjini nikawakuta polisi wamesimamisha gari mikoroshoni halafu ghafla wakatokezea barabarani wakanizuia. Dah, ilikuwa mbinde yaani...
  11. Ben Bella

    Hivi nani waliokuwaga nyuma ya mauaji ya ndugu zetu Albino awamu ya nne?

    Mwenda Zake alikuwa mmojawapo kati ya wauaji.
  12. Ben Bella

    Nakusudia kuanzisha ligi ya soka ya kugombea kombe la Chadema , nawaomba wadau mniunge mkono

    Ingekuwa vema kama ungeanzisha hiyo ligi kipindi cha yule dhalimu aliyeitwa Meko, kwa maana angedhamini hiyo ligi kwa mapesa mengi sana.
  13. Ben Bella

    CHADEMA yaamua kutojibizana na Nyalandu, ni jambo la wakati

    Kwahiyo CCM nao wanalipokea tena fisadi hili liitwalo Nya....ndu?
Back
Top Bottom