omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,590
Nakumbuka kipindi cha serikali ya awamu ya nne yalikuwepo mauaji ya ndugu zetu Albino kwa wingi sana ,ikiwemo na vikongwe.
Hii ilipelekea aibu kubwa sana kwa taifa letu kwenye uso wa kimataifa, nakumbuka jambo hili lilimkera sana aliyekuwa waziri mkuu Mizengo Pinda mpaka ilipelekea kulia hadharani kwa uchungu.
Cha kushangaza baada ya awamu ya Tano kuingia Madarakani mauaji hayo yalikomeshwa kabisa,sijawahi sikia tena haya mauaji.
Tukubali tukatae mwendazake aliinyosha hii nchi kwa muda mfupi,hatukusikia cha majambazi kuvamia na kuteka,panya road walifutika,dawa za kulevya na mateja kupotea,na mengine mengi ambayo yalikuwa kichefu chefu awamu ya Nne.
Tutaendelea kumkumbuka mwendazake, maana waliotawanyika wanaanza kujongea ili wajikusanye kuendelea na uhalibifu wa raia na mali zao .wanaonekana kuwa na kiu sana
Hii ilipelekea aibu kubwa sana kwa taifa letu kwenye uso wa kimataifa, nakumbuka jambo hili lilimkera sana aliyekuwa waziri mkuu Mizengo Pinda mpaka ilipelekea kulia hadharani kwa uchungu.
Cha kushangaza baada ya awamu ya Tano kuingia Madarakani mauaji hayo yalikomeshwa kabisa,sijawahi sikia tena haya mauaji.
Tukubali tukatae mwendazake aliinyosha hii nchi kwa muda mfupi,hatukusikia cha majambazi kuvamia na kuteka,panya road walifutika,dawa za kulevya na mateja kupotea,na mengine mengi ambayo yalikuwa kichefu chefu awamu ya Nne.
Tutaendelea kumkumbuka mwendazake, maana waliotawanyika wanaanza kujongea ili wajikusanye kuendelea na uhalibifu wa raia na mali zao .wanaonekana kuwa na kiu sana