Wengi hawajui ugomvi wa Polepole na Samia unatoka wapi!
Ni hivi. Ili Polepole aachie ubunge, alipewa ubalozi kwa kipindi sawa na cha ubunge, ambapo ubalozi wake ungekoma, mara baada ya bunge kuvunjwa.
Kwa hiyo Polepole kujiuzulu ilikuwa ni kulia timing asije akakaa hadi astaafishwe, Jambo...
Kuna marekebisho kidogo yanayotakiwa kufanyika ili kukomesha kabisa ajali kwenye mteremko wa Mbalizi.
Nitafuteni kwenye email ya 'wetvines@gmail.com'.
Karibuni
Bora waachane na hilo zoezi.
Asilimia themanini ya maghorofa yote yaliyopo Dar yamejengwa chini ya kiwango.
Yanasimama kwa kudra za Mungu tu.
Namsihi Rais Samia asitishe uchunguzi kwa kuwa hana uwezo wa kuyabomoa maghorofa yote hayo ambayo yamejengwa chini ya kiwango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.