Recent content by Bemendazole

  1. Bemendazole

    Rais Samia amteua Amos Gabriel Makalla kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha

    Mama na mimi asinisahau kwenye vile viti kumi vya wabunge.
  2. Bemendazole

    Kuku wa Polepole alikula 'punje' nne za ubalozi. Sasa anatapa tapa

    Wengi hawajui ugomvi wa Polepole na Samia unatoka wapi! Ni hivi. Ili Polepole aachie ubunge, alipewa ubalozi kwa kipindi sawa na cha ubunge, ambapo ubalozi wake ungekoma, mara baada ya bunge kuvunjwa. Kwa hiyo Polepole kujiuzulu ilikuwa ni kulia timing asije akakaa hadi astaafishwe, Jambo...
  3. Bemendazole

    Kuhusu ajali za kila wakati na watu kufa mteremko wa Mbalizi, Mbeya, ninawashangaa watu wa Mbeya kuendelea kuivumilia serikali kwa ahadi za uongo

    Kuna marekebisho kidogo yanayotakiwa kufanyika ili kukomesha kabisa ajali kwenye mteremko wa Mbalizi. Nitafuteni kwenye email ya 'wetvines@gmail.com'. Karibuni
  4. Bemendazole

    Wakuu naomba Connection ya Kinglion Kibaha

    Unamfahamu mishahara ya viwandani? Hasa hivi vya Wachina na Wahindi?
  5. Bemendazole

    Nimefika mkoa wa Katavi nimekuta idadi ndogo sana ya wazee

    Mimempa mimba dem wa mpanda Nafurahi sasa nitaitwa Baba ..
  6. Bemendazole

    Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀

    Iyo dawa ni noma. Niliharisha nusura utumbo utoke nje!
  7. Bemendazole

    Hali ilivyo Kariakoo, leo Novemba 23, 2024, eneo lilipoanguka ghorofa

    Samia has vowed to flatten Kariakoo. Let's wait n see.
  8. Bemendazole

    Kabla ya kuitwa Bahari ya Hindi, hii kitu iliitwaje?

    Mzungu keshaamua iitwe bahari ya Hindi. We uogopi?
  9. Bemendazole

    Kwanini vyoo vya umma vinatengwa kwa jinsia ya wanaume(ME) na wanawake(KE)?

    Wazungu ndio wameamua iwe ivo. Sisi tunaiga tu.
  10. Bemendazole

    Nataka kuanza Maisha maeneo ya Sinza

    Ukikaa Sinza, hutokaa ujenge!
  11. Bemendazole

    Kutangazwa hadharani wajumbe wa kamati nzima ya uchunguzi majengo Kariakoo ni kosa la kiufundi

    Bora waachane na hilo zoezi. Asilimia themanini ya maghorofa yote yaliyopo Dar yamejengwa chini ya kiwango. Yanasimama kwa kudra za Mungu tu. Namsihi Rais Samia asitishe uchunguzi kwa kuwa hana uwezo wa kuyabomoa maghorofa yote hayo ambayo yamejengwa chini ya kiwango.
  12. Bemendazole

    Rais Samia amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa

    Bendera kupepea nusu mlingoti mpaka wafe watu kuanzia 100.
  13. Bemendazole

    Gari dogo la kukodi mkoani Kagera na mwanamke wa kupiga naye story za kimkakati

    Bukoba unakodi gari ya kukupeleka wapi? Mbona kila sehemu inafikika kwa mguu?
Back
Top Bottom