Recent content by Bemendazole

  1. Bemendazole

    Benchika: wachezaji wa Simba ni wagumu ijawahi kuona, nisilaumiwe mimi

    Kwa mechi ya jana, Simba ndio 'walioshinda'. Kutoka 1-5 mpaka 2-1, ni hatua kubwa.
  2. Bemendazole

    Odinga ataka kifo cha General Ogolla kichunguzwe haraka kwani Wananchi Wana hofu ameuawa!

    Ni shida pale jamii inapoamini anayestahili kufa ni masikini na asiye na cheo. Akifa tajiri au mtu mwenye cheo wengi huona kuwa sio sawa!
  3. Bemendazole

    Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

    Sio yeye. Tulishaanza kukatwa railay development levy toka enzi za Kikwete ili kujenga reli mpya.
  4. Bemendazole

    Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

    Af wako gender biased. Mbona wahudumu wa kiume siwaoni?
  5. Bemendazole

    Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

    Hiii! Nahene! Mbona wahudumu ni wengi kuliko abiria?
  6. Bemendazole

    Battle: Ilala VS Kinondoni

    Kulingana na baadhi ya Watanzania kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Ilala kipo hakipo Kinondoni na kipo Ilala hakipo Kinondoni. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Ilala wale wa Kinondoni wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema...
  7. Bemendazole

    Battle: Mwanza VS Dodoma

    Kulingana na baadhi ya Watanzania kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Mwanza kipo hakipo Dodoma na kipo Mza hakipo Dom. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dom wale wa Mza wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao...
  8. Bemendazole

    Battle: Lilongwe VS Mbeya

    Kulingana na baadhi ya Wamalawi kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Lilongwe kipo hakipo Mbeya na kipo Mbeya hakipo Lilongwe. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Mby wale wa Lilongwe wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na...
  9. Bemendazole

    Battle Mwanza VS Kigali

    Kulingana na baadhi ya Wanyaruanda kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Kigali kipo hakipo Mwanza na kipo Mwanza hakipo Kigali. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Mza wale wa Kigali wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na...
  10. Bemendazole

    Battle: Dodoma VS Mombasa

    Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Mombasa kipo hakipo Dodoma na kipo Dodoma hakipo Mombasa. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dom wale wa Mombasa wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao...
  11. Bemendazole

    Battle: Dar Es Salaam VS Kampala

    Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Kampala kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Kampala. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Kampala wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema...
Back
Top Bottom