Recent content by beingreal

  1. beingreal

    Miss Tanzania namba 2 (Lilian Kamazima) ''ana tatizo la uraia''

    Ni mtanzania amezaliwa tanzania amesoma chuo cha uhasibu arusha na alikua mshiriki wa miss chuo mwaka huu....hayo mafekero yenu kama mmetumwa peleken kwa wake zenu na waume zenu..usikute umekaa hapo wewe unaongea kumbe ni mkongo...mxxiiiwww we are sick and tired!! Ova
  2. beingreal

    Ni kitu gani special ambacho hautokisahau kutoka kwa mpenzi wako wa sasa au wa zamani?

    He was my 1st...so kumsahau sio rahisi ivo....ila wa sasaivi nampenda na kumuheshimu.
  3. beingreal

    Diamond vs Ali Kiba

    Mpo hapo eeee By albertomsando Ali Kiba; Diamond na Muziki: Kila mwanadamu anapenda kufanikiwa katika jambo lolote analofanya. Mafanikio yanatokana na sababu nyingi lakini muhimu zaidi ni; 1. Kufanya kazi kwa bidii na maarifa. 2. Kuona nafasi (opportunity) na kufanya maamuzi sahihi. Diamond...
  4. beingreal

    Ni nyimbo zipi zinakukumbusha machungu ya mapenzi na hata kuzichukia kabisa?

    malipo yapo.hapa duniani if u pray for aliekukosea nilimpenda mpka kaniacha na bado nikawa namuombea kwa Mungu....na sijamkasirikia sina desturi iyo i always be in good terms wth my xes....
  5. beingreal

    Ni kitu gani special ambacho hautokisahau kutoka kwa mpenzi wako wa sasa au wa zamani?

    Sauti yake t has been wth me for 4yrs now tangu aniache.....wa sasaivi kwakweli upole wake na heshima yake kwangu....i lov i lov i love.....
  6. beingreal

    Ni nyimbo zipi zinakukumbusha machungu ya mapenzi na hata kuzichukia kabisa?

    Someone like you....baada ya 2yrs ya relationship kumvumilia akiwa hana mali....akapata mali akasepa na mademu wengine...nilifanya jitihada za kumrudisha lakini niliambulia sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead....i remember i used to sing to him hallo ya beyonce na birthday...
  7. beingreal

    Huyu binti nimempata mwezi wa tatu sasa hajaniomba hela nimueleweje

    Huyo demu basi company yake ya marafiki nzuri..marafiki wabaya ndo washauri wakuu wa kuwashauri wenzao waombe hela...
  8. beingreal

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    Kwanza ni mtu mzima sana...pili characteristics za good leader sio mambo ya health and education tatu jihad ndo mshindi wengine mavi matupu nne kamati ya miss tz hawana jipya bora hata wakajiunge na bongo movie..memaliza
  9. beingreal

    Sifa za Mchumba(mwanamke) wa kuoa

    Kwa mimi naamini aliezungukaaa mwshoe utulia.coz haoni jpya tena kama yote keshayaona....shughuli bikra uliembikiri akakutana na manyang'au ya mjini mke huna.....nna vivid example kabsaaaa....
  10. beingreal

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Ts good trying something different.
  11. beingreal

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Basi ukamuoshe huo mgando vizuriiii then ukiona ni safi vya kutosha anza kazi....kila kitu kinataka moyo na effort otherwise mtihan tu.
  12. beingreal

    BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

    Dats all the management cud manage kumpa diamond kama zawadi....iwe used iwe mpya zawad ni zawadi.....
  13. beingreal

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Hahahahahahhahahah uji wa baruti.....next time mwambie aoge kwanza ndo umfanyie ivyo wallah utaacha...my guy alikua kama wewe akajaribu once...saivi anaomba mwenyewe tu hata nisipotaka ananibembeleza anasema kutamu huku.....so try next time akitoka kuoga tu...
  14. beingreal

    Hivi Diamond Platumz hajui kingereza au alijitoa ufahamu tu?

    Na wewe included i forgot....lols!katudhalilisha nn hapo....the song inamuhusu msichana ndo atamtoa tanzania to lagos na kumfanya awe famous.....now wat dd diamond somhow disrespects us hapo.....smh
Back
Top Bottom