Naomba ushauri kuhusu mkopo wa CRDB.
Nimekuwa kazini kwa miaka 2, na sasa nafikiria kuchukua mkopo kupitia CRDB.
Naomba ushauri kutoka kwa wenye uzoefu:
Je, baada ya kufanya kazi kwa miaka 2 ni wakati mzuri kuchukua mkopo?
Ni mambo gani muhimu ya kuzingatia kabla ya kukopa?
Je, ni bora...
✅ VIGEZO VYA KUPATA CHETI CHA KUZALIWA
1-KADI YA CLINIC
2-PASPORT YA KUSAFIRIA
3-CHETI CHA DRS LA SABA
4-LIVING CERTIFICATE YA FORM FOUR
5-KITAMBULISHO CHA KUPIGIA KURA
6-KITAMBULISHO CHA KUPIGIA KURA AU CHA NIDA CHA MZAZI
7-TANGAZO LA UZAZI
8-CHETI CHA UBATIZO
9-BARUA YA UTAMBULISHO...
Unataka kusafiri nje ya nchi? Pasipoti ni muhimu sana!
1. KWA NINI PASIPOTI NI MUHIMU?
Kitambulisho rasmi cha kimataifa - Inakuthibitisha kuwa wewe ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kuingia nchi nyingine - Bila pasipoti halali huwezi kusafiri nje ya Tanzania
Fursa za kazi, masomo na...
Wakuu inakuwaje, Ratiba zenu zipoje.
Mimi ya kwangu inaendana na kazi yangu, asubuhi tunaingia mazoezini baada ya hapo kumwagilia bustani pamoja na kulisha kuku.
Nikitoka hapo najiandaa kuingia kazini jioni tena kulingana na kazi yangu naingia mazoezini.
Baada ya hapo Kuna kazi online mpka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.