Wanafunzi wanasubiri,ili waliokosa mkopo wajue wanajipangaje majina yanatoka one week before opening date. Je,aliyekosa mkopo atawezaje kulipa hiyo ada na alijua mkopo ni mkombozi hata wazazi wanabaki njia panda.
Jamaa, hizi mambo inabidi zifike mwishon huu ni wizi wa wazi wazi, Hawa lazima tuwasalimie, wanaibia sana watu kwa kuwaambia wamejiunga na huduma Fulani wakati sio kweli, dunia hii ya utandawazi ujiunge kitu usichokijua?
Vipi, wale watu wasioweza kupiga simu kuhoji salio lao wanaendelea kukatwa...
Habarini wanajukwaa,
Jamani naomba kufahamu kuhusu hii mitandao ya smu. Nimekuwa nikiweka Salio katika mtandao X mfululizo,
jana asubuhi nimeweka salio kwa rusha nikaunga vizuri, jioni wakati narudi mishe nikapitia kwa wakala nikaweka Salio, nafika nyumbani niunge salio naambiwa halitoshi...
Kuna Changamoto nyingine ya mfumo wa ku apply mkopo unadai arrangements ya DOD haijakaa sawa so haikupelek next step na cheti kimekua verified na Rita Sasa wao wanataka kikaaje au watu waedit vipi?
Habari, zenu wanajukwaa,
Naomba kujuzwa au kufahamishwa kuhusiana na mikopo ya bank au hizi microfinance
Je, kuna uwezekano wa mtu kupata mkopo ikiwa si mwajiriwa,hana biashara rasmi kwa maana ya wanavyotaka wao leseni, mauzo sijui kwa miezi 6 nk.
Nahitaji mkopo kupitia dhamana ya nyumba au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.