Kama hujapoteza mzigo Posta utakuja kupoteza ,au na wewe unafanya kazi Posta,unatetea wezi wenzio? watu tuna hasira kuibiwa kila mala halafu wewe unasema ni ujinga?
Nimekuuliza umri wa mtoto nikiwa na maana ya kwamba,Mama mzazi akiwa ananyonyesha hakuna mwanaume anayemtamani lakini mtoto akiachishwa halafu Mama akapata muda wa kupumzika,kama hana matatizo ki afya au ki uchumi anaanza kuvutia.kwa sababu hiyo kila anayekuona anakutamani ila ujue si kwamba...
I see hawa jamaa wa posta Mungu anawaona , nilifikiri ni mimi tu.ukitaka mzigo wako ufike salama uwe na Tracking number na Tracking number ina ghalama zake kwani unakuwa una track mwenyewe mzigo umefika wapi.lakini mizigo ya free shipping labda kiwe kitu kidogo au hawakijui.Mimi kalibia kila...
Juzi tu nimetumiwa SMS kuwa nimeshinda £98000, kutoka cocacola ya England cha kushangaza SMS imetumwa kupitia namba ya Halotel,nikamuuliza eti hivi na england kuna Halotel yenye Country Code +255?sijaona jibu na namba hiyo hata ukipiga haipokelewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.