Recent content by Beauty Eva

  1. Beauty Eva

    Lissu acha kudandia, hoja ya mfumuko wa bei ni ya Mpina. Alikwisha ifikisha Bungeni miezi 8 iliyopita!

    Wewe ni fala sana. Kwamba Kwa kuwa Mpina alishaongelea ugumu wa maisha, basi milango imefungwa kwa wengine kuzungumzia? Aliongea Mpina, ameongea Lissu na tutazidi kuongea hadi hali iwe nafuu. Acha kutumia matako katika kufikiri. Tumia japo akili kidogo.
  2. Beauty Eva

    Umem-miss nani?

    Ruksa kabisa
  3. Beauty Eva

    Umem-miss nani?

    Ni rafiki uako yupi hujui alieda wapi na huwa unam-miss sana na unatamani itokee siku mkutane tena? Mtaje labda na yeye yupo humu na atakusikia[emoji7] Mimi naanza na Fatma Ahmed Tamim, nilisoma nae Jamhuri High School Dodoma na alikuwa anaishi Area C
  4. Beauty Eva

    Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

    Kiwanda cha Viatu cha Jeshi la Magereza Karanga Moshi, kina miaka mingi saaaaana! Tangu enzi za Nyerere
  5. Beauty Eva

    Is She The Worst President Ever(Tz)?

    Are you sure that corruption has risen since she took the chair? Have you done just a simple non structured research? Come to 2021 Afro Barometer and Transparency International where by the two reports show the downfall of corruption and corruption practices and Tanzania stepped up for one...
  6. Beauty Eva

    Nipo kwenye dalalada naangalia nauli nimedondosha Naombeni msaada wa haraka

    Jifanye kama umezimia "jizimishe" Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Beauty Eva

    Baraza Kuu: CHADEMA kuzindua Sare mpya ya Chama

    Kwani Mzee hujawahi kuzisoma au hata kuzisikia Sera mbadala za Chadema? Chadema walishazindua Sera mbadala. Chadema walishazindua kadi za kisasa Chadema walishazindua operations Je mdau, tayari umejoin the chain? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Beauty Eva

    IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

    Umeongea madini ya Tanzanite tupu. Kuna wapumbavu ambao wanajifananisha na Mbowe Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Beauty Eva

    Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

    Unasifia ujinga? Jinga kweli kweli wewe!
  10. Beauty Eva

    Rais mstaafu TLS - Mfumo wa Haki Jinai Tanzania uundwe upya, haki ipatikane

    Ameshauri!! Wenye kumsikia, watamsikia.
  11. Beauty Eva

    Rais mstaafu TLS - Mfumo wa Haki Jinai Tanzania uundwe upya, haki ipatikane

    Ndio matatizo ya kuishia darasa la 3C!! Kwani kuwa Rais wa TLS ndio kunampa fursa/mamlaka ya kubadili mfumo? Kama ungekuwa umeishia japo darasa la saba, ungeweza kuiona paragrafu iliyoandikwa kuwa, "Mwenye jukumu la kuweza kubadili mfumo huu ni serikali iliyopo madarakani kwa kutumia wataalamu...
  12. Beauty Eva

    Hayati Dkt. Magufuli hakuisaidia Chato

    Najaribu kutafakari logic ya hiki ulichokiandika, siioni kwa kweli. Inawezekana una jambo zuri ulitaka kuliwasilisha, ila limeishia kichwani kwako. Naamini katika wasomaji wote wa andiko lako, asilimia kubwa sana hawajakuelewa
  13. Beauty Eva

    Hayati Dkt. Magufuli hakuisaidia Chato

    Andiko hili fupi ni bora na lina ujumbe na funzo kubwa mno kuliko thesis nyingi za PhD candidates. Asante sana
  14. Beauty Eva

    Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

    Hana lolote! PhD holder anaulizia ngazi ya mshahara mitandaoni!!!!!!!!
Back
Top Bottom