Wewe ni fala sana. Kwamba Kwa kuwa Mpina alishaongelea ugumu wa maisha, basi milango imefungwa kwa wengine kuzungumzia?
Aliongea Mpina, ameongea Lissu na tutazidi kuongea hadi hali iwe nafuu.
Acha kutumia matako katika kufikiri. Tumia japo akili kidogo.
Ni rafiki uako yupi hujui alieda wapi na huwa unam-miss sana na unatamani itokee siku mkutane tena?
Mtaje labda na yeye yupo humu na atakusikia[emoji7]
Mimi naanza na Fatma Ahmed Tamim, nilisoma nae Jamhuri High School Dodoma na alikuwa anaishi Area C
Are you sure that corruption has risen since she took the chair? Have you done just a simple non structured research?
Come to 2021 Afro Barometer and Transparency International where by the two reports show the downfall of corruption and corruption practices and Tanzania stepped up for one...
Kwani Mzee hujawahi kuzisoma au hata kuzisikia Sera mbadala za Chadema?
Chadema walishazindua Sera mbadala.
Chadema walishazindua kadi za kisasa
Chadema walishazindua operations
Je mdau, tayari umejoin the chain?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio matatizo ya kuishia darasa la 3C!!
Kwani kuwa Rais wa TLS ndio kunampa fursa/mamlaka ya kubadili mfumo? Kama ungekuwa umeishia japo darasa la saba, ungeweza kuiona paragrafu iliyoandikwa kuwa, "Mwenye jukumu la kuweza kubadili mfumo huu ni serikali iliyopo madarakani kwa kutumia wataalamu...
Najaribu kutafakari logic ya hiki ulichokiandika, siioni kwa kweli. Inawezekana una jambo zuri ulitaka kuliwasilisha, ila limeishia kichwani kwako. Naamini katika wasomaji wote wa andiko lako, asilimia kubwa sana hawajakuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.