Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji fundi mwenye uwezo wa kutengeneza band saw kubwa ninasema kubwa maana yangu ni kua ile sehemu linapopita gogo panatakiwa pawe na urefu usiopungua futi 7 kutoka chini kwenda juu kwa anaeweza kutengeneza tuwasiliane kwa namba 0624 017300
Wewe wa Moshi nenda hapo viwanja vya hindu mandal hapo chini ya stand ya mabasi kuna maonyesho ya sido yanafanyika hapo kuna watu wako hapo wanaziuza maonyesho yanaisha kesho Ijumaa
Kabla hajaenda kampala awatafute watu wanafanya hiyo biashara maana sasa hivi kwenye Mipaka TRA hawana mchezo Mie hua naenda Nairobi nimeona kwenye Mpaka wa Namanga jinsi Tra wanavyokagua Mizigo
Wale wataalamu wa pipi za jumla tujuzeni zinakopatikana na pia nashauri taarifa x
Ziwekwe hala hadharani sio mambo ya pm hiyo ni biashara halali kwa nini mnataka kujifichaficha maana ukiweka hapa watafaifika wengi ila mkipeana pm utamnufaisha mmoja ina maana hata wewe muuzaji pia utakua umekosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.