Recent content by be the red

  1. be the red

    Msaada katika hili, je ana mimba kweli?

    Hana mimba huyo bali anakupima imani siku ikiwa kweli utafanyaje!!but upande wa pili mmba haiwez onekana after 2days na kama anayo basi hiyo mimba siyo yako
  2. be the red

    Ufafanuzi juu ya shitaka namba 3 la kutokutumia .tz

    Andikeni tu mm mpitaji
  3. be the red

    Kanali Lubinga: Nilijiunga CCM tokea wakati wa chama kimoja

    Maana kila kazi kuna sifa zake,na wao waliingilia kadi ya chama ndo sifa na kivuli cha kadi kipo kwenye mafaili yake
  4. be the red

    Kanali Lubinga: Nilijiunga CCM tokea wakati wa chama kimoja

    Mm ni mtumishi na utartibu hauko hivyo unavyodhan maana wwe unadhani tu lkn haujui unajitahid ujue kazana
  5. be the red

    Kanali Lubinga: Nilijiunga CCM tokea wakati wa chama kimoja

    Wew pia ndo hujui,kwani wwe ulipolata kazi kupitia cheti chako cha chuo kikuu ulichana chet chako cha form 4
  6. be the red

    Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

    Alistaaf na alikuwa anafanya kazi kwa mkataba maana yake serkal ilimuazma na ina uhalali wa kukatisha mkataba wake na kupangiwa kazi ingine
  7. be the red

    Kanali Lubinga: Nilijiunga CCM tokea wakati wa chama kimoja

    Lazima uelewe hapo mwanzo watu katika majeshi walikuwa wanaingilia kadi ya chama cha ccm jeshini na sio sifa ya elimu NO!!!hivyo muelewe vizuri canal anapokwambia alijiunga na ccm from monoparty,baada ya mwinyi kuingia madarakan ndipo akaanza kuchukua STD VII na baadae form IV na mpaka sasa...
  8. be the red

    Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

    Wwe ndo hujui taratibu sasa nikueleze pamoja na ujinga wako!!ukiacha sheria na katiba na nini sijui;rais ana mamlaka ambayo amepewa kikatiba kufanya unayoyaona!tatizo watz wengi hatujui sheria na elimu imetupita kushoto!isome katiba,mamlaka ya rais halafu ndo uje unitolee povu lako;Ndo maana...
  9. be the red

    Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

    Yuko sahihi,kwan alishastaafu na hata angekuwa bado rais ndio amili jeshi mkuu ana mamlaka
  10. be the red

    Yaliyojiri kwenye ukaguzi wa Polisi katika Ofisi za JamiiForums na Nyumbani kwa Mkurugenzi, Maxence

    Mm naamn sasa wengi humu jf ni wahalifu wa kimtandao why muogope?kaitwa kuhojiwa polisi wakijilidhisha watamwacha na jf yenu itasalimika
  11. be the red

    Unamsotea msichana muda mrefu, siku akikubali 'mashine' inatema uvundo!

    Lkn hata wanaume baadhi yetu midomo viatu tunanuka mno!!MTU anavuta sigara,kiroba,konyagi halafu anataka amle mtoto wa watu denda duuu!!
  12. be the red

    Unamsotea msichana muda mrefu, siku akikubali 'mashine' inatema uvundo!

    Vijana sio wa mchezo mchezo,papuchi kwa kwenda mbere,tuwaombee kwakwer
Back
Top Bottom