tanzania bana, kazaliwa kaikuta ya njano, sasa anataka kubadilisha huyu wazirihafai kabisa,, wimbo wa taifa ndio ishara halisi ya utaifa,, wengine tukilewa ndio wetu huo, hata ukiwa nchi za watu. Sasa huyu bwege mtozeni sijui nini kimemsibu., haya baba mkubwa kafyekelea mbali. JPM bravoooo
muke ya kwanza umemupa mutalaka, muke ya pili hajui kumukatika kwa mukitanda......ongeza muke ya tatu.......chepuka tuu braza, jifanye huna nyege kabisa,.akili itamrudia tuu,wanasumbua hao wadudu
so unajuta. nyi wanawake nyie, sijui hata la kusema, ngoja tukushauri hivi siku moja wachukue wanao na baba yao, muende sehemu ya mbali kabisa, kama week hivi., look at ur kids/daughters wakicheza, mwangalie mmeo vizuri usoni, rudisha memory zako the day ali**uk mara ya kwanza, angalia malaika...
kuna wanawake majasiri kweli, hivi unawapangaje??? na unapenda ukuni hakika......hao wote hakuna hata mmoja akufaaye, japo ningekushauri mtengeneze huyo single boy, he might change, wanaume tunajijua haswa., ila uwe smart akipata chimbo jipya na ajuavyo ulivyo used anakutosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.