Ufisadi hauwezi kuisha hata iweje hata ishuke katiba kutoka mbinguni mapadri, wachungaji, mashehe wenyewe wanakuaga na kesi mbaya kama za kulawiti kutia mimba waumini nk ije kuwa mtu wa kawaida
wanadamu tunalilia kitu kisichoweza kufanywa na hata wengi wetu pia. Hata vitu maalum viondeke...
Mmmh ufisadi hauwezi kuisha hata iweje hata ishuke katiba kutoka mbinguni mapadri, wachungaji, mashehe wenyewe wanakuaga na kesi mbaya kama za kulawiti kutia mimba waumini nk ije kuwa wanadamu tunalilia kitu kisichoweza kufanywa na hata wengi wetu pia.
Kuna ukweli wenye uongo mwingi sana inawezkana suala lilifika polisi lakini hakukamatwa na kwa taarifa za ndani kabisa hata iyo kesi haipo ila kuna bifu la mda mrefu sana la hawa wadada na kazi yao ni kulipuana tu kila anayepata fursa ya kumlipua mwenzake analipua tu japo Vicky kazidiwa ndo mana...
Ila viti maalum wapo wengi sana hata chadema wana viti maalum wengi tu akina Asha rose migilo ni viti maalum pia na hata Mbatia aliteuliwa au nae ndo nanilii??? Au ????...... suala la kuingiaje nadhani tuliweke pembeni. Tuje ishu ya Vicky kudakwa na polisi
Uko sahihi sana kwa madai ya magige hakujua aliyekua anamtukana akaripot polisi na uchunguzi wa polisi ndo ukabaini hilo.. kwa kujazia hawa bado ni vijana bado wanasafari mdefu kisiasa na huu sio muda wa kulumbama ni kupambana kwa maslahi ya wananchi ushauri wa bure najua upp utartibu wa bunge...
Mmmh yani apa balaa mara Amiri jeshi, mara Mbowe dubai, mara kagasheki, mara vitanda maalum mara siasa gani mara kusutana umbeya.. halafu kichwa cha habari Vicky kamata adakwa na polisi ukisoma habari inaonekana hajakamatwa ni upelelezi unaonyesha ni vicky akitumia namba iliyosajiliwa kwa jina...
Ulichosema kina ukweli pia lakini kama ni dhambi inafanywa kelele zao zimesaidia nini?? Je walitakiwa kufanya nini?? Mara ngapi tunaongozwa na dhambi?? Dhambi hizo hizo zitapitisha katiba hadi kwa wananchi na dhambi hizo hizo zitawarudisha madarakani?? Hata wakshika nchi ukawa bado itakua ni...
Nimedhamiria mm nlikua mfuasi mkubwa wa ukawanila naona wazinguaji tu nao kila siku makelele wenzao wanafanya yao kule.. hayo makelele ya kuchakachua mngekuwepo pale mngedhibiti we unalinda mwizi uku nje ya nyumba wakati yeye yupo ndani ulikoweka mali zako unategemea nini?? Nilitaraji ukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.