mmh ujeu sometimes naonaga bora nisiamini tu lakin wew ni nan hadi usiamin au mm ni nan hadi nisiamini kitu ambacho dunia nzima inaamini uchawi upo ....wazungu hao hao unaosema hawaamini ndo wanaongoza kuamini hizo nguvu za kichawi....kuhusu movies wao pia wanacheza movies za kichawi tena...
anhaaa haya mambo tusijifanye tunayajua sanaaa kwasabab hiz media ni kama kampuni zinaendeshwa kwa hisa mwenye hisa kubwa anakuwa host kwaiyo kikubwa labda tungejua nan anahisa kubwa kuwazid wenzake kwasabab tunamhusisha sana kusaga kwenye kila kitu kinachotrend labda kwasabab amejitokeza...
eti evidence inayoonyesha kwamba kusaga anamiliki wasafi media ni ile frequence root waliyoituma shilawadu instagram hahahahaha wabongo bana wape picha tu maelezo watajua wao
eti evidence inayoonyesha kwamba kusaga anamiliki wasafi media ni ile frequence root waliyoituma shilawadu instagram hahahahaha wabongo bana wape picha tu maelezo watajua wao
eti evidence inayoonyesha kwamba kusaga anamiliki wasafi media ni ile frequence root waliyoituma shilawadu instagram hahahahaha wabongo bana wape picha tu maelezo watajua wao
hahahaha sema madhumuni waliyoyapanga kwenye hiyo wasafi fstv yana tija sana ungekuwa unafwatilia ungeelewa nini wanamaanisha mapinduzi ya burudani...utoaji misaada kwa kidogo wanachopata na mengine mengi tutayaona itakapofanyika ...tusijaji kitu wakati bado hakijafanyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.