Recent content by Bblackboy

  1. B

    Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

    Mzito sana kwenye scratching Sent using Jamii Forums mobile app
  2. B

    Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

    Madj wa mikoani wakali sana mzee kwa mfano kg the dj, dj timba, dj virus kuliko wapiga maembe flan wa jijini pia mwanza ni wakali kuliko wa dar Sent using Jamii Forums mobile app
  3. B

    Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

    Dea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye noma Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

    Huyu chalii dj nelly d wa the click kiss fm anakuja kwa kasi ana mikato mikali sana Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

    Dj summer, dj zero wapiga maembe wazoefu hawawezi beatmatching. Hahaha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

    Kweli una sikio bro, davy yupo dar mkuu alikuwa na uwezo sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    Kuna watu tuliumbwa kupishana na gari la mapenzi

    Pole sana. Amini uliyepangiwa bado muda wake
  8. B

    Kwanini wanawake weusi huwaga ni watamu sana, nini chanzo?

    Sinaga stim na madem weupe na madem weusi na nilishajaribu kujilazimisha ila ikashindikana mi na maji ya kunde tu. Ngoja waje wazoefu
  9. B

    Sebastiani Ndege ni Jembe

    Jembe ni jembe ni kiwanja fulani kikali cha kulia bata jijini mwanza pamoja na jembe fm. Mmiliki ni yule sebastiani aliyekuwaga mtangazaji wa clouds fm
  10. B

    Nani ni DJ bora kwa mwaka 2017?

    Kenya ipo blessed sana upande wa burudani maana kuna djs wakali sana japo sio famous
  11. B

    Nani ni DJ bora kwa mwaka 2017?

    Tz mpaka sasa hakuna dj academy iliyowahi kutoa madj tishio ukilinganisha na kenya inayotoa madj tishio kama MTA/ogopa dj academy
Back
Top Bottom