Madj wa mikoani wakali sana mzee kwa mfano kg the dj, dj timba, dj virus kuliko wapiga maembe flan wa jijini pia mwanza ni wakali kuliko wa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Dea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye noma
Sent using Jamii Forums mobile app
Jembe ni jembe ni kiwanja fulani kikali cha kulia bata jijini mwanza pamoja na jembe fm. Mmiliki ni yule sebastiani aliyekuwaga mtangazaji wa clouds fm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.