Kiingereza iwe ya kufundishia kuanzia darasa la tatu hadi mwisho . Bitter truth. Unaanzaje kufundishia kiingereza Form 1 wkt hakielewi wala kukizungumza? Pili kwa nini walimu wengi wa primary ndo waliofeli Form 4? Kisha wararajia nini hasa shule uchwara za kata??
Na ujiulize ni kwa nini serikali haitaki kushughulikia Vipengee hivi vitatu muhimu?? Kuna siri hapa. Aidha elimu ya bure na kujenga madarasa will never guarantee quality education.
Haya yote Tundu anayasema wazwaz ila anaitwa mchochez! Shule hasa za kata ni matambara bovu ya CCM kuhakikisha kila kizazi kinabaki kijinga. Unafiki mtupu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.