Recent content by baz kaiza

  1. baz kaiza

    Siasa ndani ya vyama ziliwakataa Prof. Mwandosya na Salim A. Salim zikatuletea Jakaya Kikwete na hapa ndipo tulipo sasa

    Alimtaka Salim hamed Salim ndo lilikua chaguo la Nyerere Salim akaleta wenge flani hivi
  2. baz kaiza

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Nani amekwambia Israel wale ni wayahudi hakuna wayahudi wale ni wahuni tu kutoka Poland wazungu wayahudi wanaweza kua ni Wa Irani
  3. baz kaiza

    Siasa ndani ya vyama ziliwakataa Prof. Mwandosya na Salim A. Salim zikatuletea Jakaya Kikwete na hapa ndipo tulipo sasa

    MALCOM LUMUMBA njoo unisandie hapa Mwinyi hajawai kua chaguo la Nyerere
  4. baz kaiza

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Mayalla anaga tofauti na Makonda anajipaga umuhimu sana kwenye masuala amabayo hata yamemzidi anajipa ukubwa huo
  5. baz kaiza

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Unatetea mpaka mauaji wewe utakufa?
  6. baz kaiza

    Kitima: Wekeni kumbukumbu za mauaji ya MO29, aliyeagiza lazima atawajibika tu jinai huwa haifi

    Unaingia madaraka kwa kumwaga damu alafu unakaa kwa amani kabisa wakati kiti ulichokalia kinanuka damu
  7. baz kaiza

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Yeye ni msemaji wa Chadema
  8. baz kaiza

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Kifo cha Lukuvi , Ndugai na Jeni kuna changamoto
  9. baz kaiza

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Punguza kuchukulia vitu rahisi
  10. baz kaiza

    Vijana wa CHADEMA oneni aibu mmeshindwa kumpambania Lissu

    Hii nchi Ina matatizo kibao ukiwemo mkataba wa Dp world lakini lakini wajinga wako busy na Lissu
  11. baz kaiza

    Ubinafsi na tamaa chanzo cha mgogoro ndani ya CHADEMA

    Huu ni umbea sasa
  12. baz kaiza

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    Alarm Ina mda ukiweka alarm sio mda wake ni kelele chadema kwasasa wanapitia Magumu sana yatawajenga baadae
Back
Top Bottom