Recent content by baz kaiza

  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Naomba kusikia kutoka kwa watu wengine ambao labda wamepitia maumivu makubwa ya kupoteza wapendwa wao au kuona ndugu zao wakiteseka hospitalini

    Nilikua na mama angu hospital wakati anakata roho 2017 siwezi kusahau
  2. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Good News!. Yule Shujaa Mwanamke wa Shoka, Shupavu, Chuma na Shujaa wa Chadema, Kamanda Halima Mdee, is Back Ndani ya Nyumba!.

    Bora Halima kuliko Msigwa japokua wote wasaliti Ila Mdee hajawai kukinanga chama pia wote maspay ndani ya chadema chukua hii comment wanaenda kuanzisha migogoro ndani ya chadema Bulaya ni mtu wa system na rafiki yake ni Mdee stupid kabisa na aya yote yanafanyika Lissu akiwa jela
  3. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wananchi kitaani wanataka Rais kama Magufuli CCM wanaogopa kuleta mtu kama Magufuli maana CCM wengi ni wezi wa mali za Umma

    Bora umenisandia kama Ikulu ya dodoma walishindwa Kutaja jina la Magufuli kipindi wanazindua Mpaka Sasa wangekua wameshaweka wazi document za Magufuli walivyokua wanamchukia
  4. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana.

    Hii kama text ya vitisho au akili yangu inaenda mbali sana
  5. baz kaiza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Kuna Mashangazi uko Taasisi flani makao makuu dodoma Grory Mushi ulinichamgamkia sana japokua nilikua namtafuta grory mwingine unatembea na roho yangu 😂😂😂 sio kwa uzuri huo wewe ni zaidi ya mishangazi japokua nilikua domo Zege 😂😂
Back
Top Bottom