Bora Halima kuliko Msigwa japokua wote wasaliti Ila Mdee hajawai kukinanga chama pia wote maspay ndani ya chadema chukua hii comment wanaenda kuanzisha migogoro ndani ya chadema Bulaya ni mtu wa system na rafiki yake ni Mdee stupid kabisa na aya yote yanafanyika Lissu akiwa jela
Bora umenisandia kama
Ikulu ya dodoma walishindwa
Kutaja jina la Magufuli kipindi wanazindua
Mpaka
Sasa wangekua wameshaweka wazi document za
Magufuli walivyokua wanamchukia
Kuna
Mashangazi uko
Taasisi flani makao makuu dodoma Grory Mushi ulinichamgamkia sana japokua nilikua namtafuta grory mwingine unatembea na roho yangu 😂😂😂 sio kwa uzuri huo wewe ni zaidi ya mishangazi japokua nilikua domo
Zege 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.