Hata kama humpendi JPM ila kwenye hili salute alileta nidhamu kwa watumishi wa umma cheo ilikua dhamana unatumbuliwa kwa uzembe wako mfano Mkurungenzi na DC kushidwa kujenga choo cha stand tena ndogo Lindi hapo unakumbuka alisemaje?
Mpumbavu hajui kwamba hili mtanzania ufanye PPP lazima kiwango cha chini kuanzia ni billion 50 hajui kenge huyo icho ndo kiwango chini kisheria chakuanzia PPP uwekezaji
Kuna club ya mpira yoyote iliyokemea mauaji ya October au kutoa salamu za pole au waliokufa hamna mashabiki zao club za mbogo zinazidiwa na brand ya Davido kwa kukemea mauaji kuna club hapo uchafu
Pesa ya mtu anayotoa kwa moyo wake inakuhusu nini hiyo inakuuma kuzidi kodi zinazokamuliwa kwa mama ntilie na kuishia mikononi mwa wahuni kununua bunduki na kupiga risasi watoto wadogo kwa kudai haki zao ambazo zipo kikatiba stupid
Huyu anafamahau October 29 walikufa watu muhimu kuzidi huo upumbavu unaitwa mpira haya hatwambie hiyo wizara ya michezo inaingiza mapato kiasi gani kwenye nchi mpaka tupuuze mambo ya msingi stupid
Tangia lini uhani ukapangwa na mtu mmoja ambae hana kiapo cha serikali? Tangia lini Lissu akawa muhaini kesi za kisiasa za kishamba Lissu ni mpenda haki mpenda haki tangia akawa muhaini?
Inasikitisha sana kukosoa serikali kugeuka kua Ugaidi kweli? Kukosoa serikali ni kusimama na nchi kama unakosoa bila matusi na kujenga hoja sio kitu kibaya challenges kupimana kwa hoja na kushindana kwa hoja ndo siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.