Recent content by baz kaiza

  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Iraq wa dola millioni 191 kwa Tanzania wazua mjadala mkubwa nchini Iraq

    🤣🤣🤣
  2. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Unijichekesha nini katoliki lipo kabla CCM na TANU na Tanzania lipo toka Tanganyika uko
  3. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Amjibu Heche "Uongozi wa nchi sio uji kwamba kila mtu anataka apewa kuonja"

    Kauli ya professor
  4. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Hata kama humpendi JPM ila kwenye hili salute alileta nidhamu kwa watumishi wa umma cheo ilikua dhamana unatumbuliwa kwa uzembe wako mfano Mkurungenzi na DC kushidwa kujenga choo cha stand tena ndogo Lindi hapo unakumbuka alisemaje?
  5. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Rasilimali Watu Ndio Uwekezaji Mkuu wa Taifa, Aibua Falsafa ya Mwalimu Nyerere

    Mpumbavu hajui kwamba hili mtanzania ufanye PPP lazima kiwango cha chini kuanzia ni billion 50 hajui kenge huyo icho ndo kiwango chini kisheria chakuanzia PPP uwekezaji
  6. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Mwigulu alikua anatafuta urais kwa nguvu mpaka unastuka ikulu kuna nini wazee
  7. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Kuna club ya mpira yoyote iliyokemea mauaji ya October au kutoa salamu za pole au waliokufa hamna mashabiki zao club za mbogo zinazidiwa na brand ya Davido kwa kukemea mauaji kuna club hapo uchafu
  8. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Pesa ya mtu anayotoa kwa moyo wake inakuhusu nini hiyo inakuuma kuzidi kodi zinazokamuliwa kwa mama ntilie na kuishia mikononi mwa wahuni kununua bunduki na kupiga risasi watoto wadogo kwa kudai haki zao ambazo zipo kikatiba stupid
  9. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Huyu anafamahau October 29 walikufa watu muhimu kuzidi huo upumbavu unaitwa mpira haya hatwambie hiyo wizara ya michezo inaingiza mapato kiasi gani kwenye nchi mpaka tupuuze mambo ya msingi stupid
  10. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania TEC walijadili hatma ya lissu kikao cha juzi?

    Tangia lini uhani ukapangwa na mtu mmoja ambae hana kiapo cha serikali? Tangia lini Lissu akawa muhaini kesi za kisiasa za kishamba Lissu ni mpenda haki mpenda haki tangia akawa muhaini?
  11. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kukosoa serikali hakuwezi kua Ugaidi kuna nchi kuna serikali .Serikali hupita nchi ubaki

    Inasikitisha sana kukosoa serikali kugeuka kua Ugaidi kweli? Kukosoa serikali ni kusimama na nchi kama unakosoa bila matusi na kujenga hoja sio kitu kibaya challenges kupimana kwa hoja na kushindana kwa hoja ndo siasa...
  12. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Vijana msikubali kuharibu amani ya nchi yenu, muwakatae wasiolitakia mema taifa

    Vijana hawa hawa aliowapiga risasi October 29? Sio hawa aliosema wakienda Kenya mikwaju wakirudi bongo mikwaju anasahau mapema Rais wangu
  13. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Ongezea na hii walishindwa kutambua mateka wako wapi pale Gaza
Back
Top Bottom