Watu weusi tunakua kama nyani hata nyani hawafanyi huo upumbavu sisi kweli sio binadamu kamili kupishana mitazamo ndo kiwe kisa cha kumweka Dr Nchimbi kizuizini alafu sisi wana CCM tuko kimya kosa la Nchimbi ni lipi kusema tudai katiba mpya...
Mbowe kwa sasa hana ushawishi chadema hata nguvu hiyo ya kuweka mtu hana alichokosea Mbowe kufanya uchaguzi wa wazi na Lissu kushinda Uenyekiti mchana kweupe watu dunia nzima inaona 😂😂
Lissu alisema Majaji sio ma CCM kwa kutenda haki kwenye hii kesi ya Lissu na kuleta kueheshimisha mahakama tofauti na hapo kauli za Lissu zinaweza kua za kweli maana wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.