Recent content by bayona_stories

  1. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Kenge mwenyewe
  2. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Cute wife, au basi
  3. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Yakija kukumkuta dada yako ndio utajua ni fictions kweli au lah!
  4. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Ni ushamba wako tu Tembea uone
  5. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Kwa hiyo wewe unaamini wabongo wana akili mbovu kama zako
  6. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Wewe ni muongo
  8. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Nani kakwambia huyo ni mbongo
  9. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kazidisha upendo maradufu baada ya kumfumania mkewe

    Mwanamke mmoja alimcheat mume wake. Mume akamkamata, tena kitandani na ni kwenye kitanda chake mwenyewe. Alichokifanya huyo mwanaume alimwambia jamaa atoke halafu akamwambia huyo mwanamke nenda kaoge uvae twende Shopping leo. Akampeleka shopping baada ya hapo zikawa ni outing za kila siku...
  10. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajisikiaje ukisingiziwa watoto wote?

    Amen [emoji120]
  11. bayona_stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajisikiaje ukisingiziwa watoto wote?

    Mwanaume ameoa mke wake. Wakagombana. Mke wake akamwambia. Na kwa taarifa yako hata hawa watoto sio wa kwako. Wana watoto sita. Mwanaume akaona hizi ni hasira tu. Ila baada ya muda fulani hili jambo likamuingia moyoni. Likamsumbua sanaaa. Akaona inawezekana ni kweli, maana watu Huongea ukweli...
  12. bayona_stories

    JamiiForums Tanzania SoC03 Tunahitaji Taasisi maalumu itakayojihusisha na tafiti zinazofanyika vyuoni

    Maadui wa Tanzania ni ujinga. Umaskini, na maradhi; kama ilivyosemwa na hayati Mwalimu J.K. Nyerere. Serikali wakati wote inafanya kila namna ili kupambana na hawa maadui watatu. Elimu ni nguzo kuu, tena nguzo namba moja katika kupambana na hawa maadui watatu wa taifa la Tanzania. Ni wazi kuwa...
  13. bayona_stories

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Wakala wa Shetani

    [emoji1][emoji1]
  14. bayona_stories

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Wakala wa Shetani

    Mgaga wa kienyeji aliishi kanisani, alitumika kanisani. Akajificha humo. Sijui ni kitu gani alikuwa anakifikiria. Sijui kwanini aliamua kutokukaa kwenye makazi yake kama mganga. Na kwanini akimbilie kutumika kanisani?! Alikuja kama muumini wa kawaida. Aliingia ibada imeshaanza akafika na kukaa...
  15. bayona_stories

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mtoto wa Mzee Martin

    Aiseee [emoji1][emoji1][emoji1]
Back
Top Bottom